Pata picha halisi ya kifo cha Gadaffi
Why the West Want the Fall of Muammar Gaddafi Analysis by Jean-Paul Pougala Part 1/5 | http://www.oleafrica.com
GOD BLESS AFRICA
GOD BLESS TANZANIA
Jamani wasomi, wafanyakazi serikalini na wadau wote kwa ujumla..kama kuna mtu yupo karibu na decision makers wa nchi hii....ebu mtujuze Mgao unaisha lini maana hata juzi sikumpata vizuri mkuu wetu alikuwa anasema nini alipotembelea wizara ya Nishati na Madini kuhusu mgao......
Wakuu wa kazi naomba mnisaidie kwa hili..maana Umeme umeshakuwa tatizo sugu ambalo sijui mchawi ni nani.....Umeme umekuwa ni tatizo kwa miaka mingi hapa Tanzania..ni asilimia chache tu ya watanzania ndio wameunganishwa kwenye Grid ya Taifa...lakini kwa hao wachache umeme umekua bado ni...
Wakuu wa kazi naomba mnieleweshe nataka kujua kwanini tokea huyu mama aapishwe speech yake ya kwanza anasisitiza kanuni..jana wakati wakuahirisha bunge amesisitiza tena mkasome kanuni.....ana maana gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.