Jamani wasomi, wafanyakazi serikalini na wadau wote kwa ujumla..kama kuna mtu yupo karibu na decision makers wa nchi hii....ebu mtujuze Mgao unaisha lini maana hata juzi sikumpata vizuri mkuu wetu alikuwa anasema nini alipotembelea wizara ya Nishati na Madini kuhusu mgao......