sniper nimekukubali kwa jinsi ulivyochambua mzizi wa tatizo. Hayo unayosema ni kweli na yanatokea sana katika jamii yetu hasa nyakati hizi za kupenda pesa, hii thread naona itawasaidia wengi kupata ushauri. Nimeamini hii ni the home of great thinkers isipokuwa pia wamo ambao sio great thinkers...
mh mi huwa najua wanaume wana moyo wa kutoa kumbe nao huumia simply because huwa hawaombwi washatoa, anyway kila mmoja anavyoona yeye, nashukuru kwa ushauri wako mzuri hata mi naona kabisa anavyofanya ulimbukeni (usharobaro) mbele yangu hutaka kupitia marafiki zake kila mahali mradi wamuone.
lol we unaeomba ushauri tu hapa tayari umechemka, mi naona una nia mbaya wewe yani una chumba na sebule then ukatafuta 6 kwa 6 ili ulale na mke wa mwenzio kwa nini wasilalie hata godoro sebuleni. Usimfanyid rafikiyo k2 mbaya wakati ana shida utamuumiza sana hatokuja kusahau, tafuta gf na we...
Tatizo dada mtu anamwonea wivu mdogo mtu anatamani kama yeye ndo angeolewa, tatizo hakujua km mke wa prof atafariki nazani angejua asingemwacha, alichokuwa akifata kwa Prof ni pesa. Kumweka mdogo wake kwa Prof ni ili wasimpoteze mtu mwenye pesa km Prof kwenye familia hilo ndo lengo hasa la dada...
Lol hao wote wanaojibu huko juu ni wanaume mbona hakuna madada hapa ili watudhihirishie maana sie ndie tunajua kuwa km wanaume wa kibongo ni wayeyushaji au lah, nyie kina kaka wala msijitetee hapo ni sbb tu amewaponda. Ok sawa anaweza kuwa hana takwimu kudhihirisha may be aliyeyushwa sana na...
Issue ni kwamba hata World Bank na International Monetary Fund wanaisifia Tanzania kuwa sasa hivi iko katika kundi la Group B as a "Good student". Ila ukweli ukiangalia Tanzania kwa sasa inakuwa kulingana na GDP tu lakini upande wa elimu na afya bado tuko nyuma sana kama Mkuu ulivyoongelea hapo...
Sio wanawake tu ambao wako hivyo hata wanaume pia wana tabia hizo. Hii inatokana na tabia ya mtu sio kuwa ni wanawake wote wako hivyo. wanaume nao wakipata hela wanaacha wake zao au kujihusisha na machangu au nyumba ndogo, tena ktk takwimu nadhani wanaume wanaongoza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.