Naunga mkono hoja hii. Barabara nyingi zina mashimo makubwa sana.
Kuna siku basi la Ngomuo, likitokea Dar kwenda Kahama na mimi nikiwa ni abiria wa hilo basi lilikita shimo na kukata Engine Mounting na safari ikaishia pale.
Barabara mbaya kabisa ni kutoka Misigiri - Singida hadi Igunga -...
Watu wa Arusha wamependelewa. Mimi niko tayari kuwa nakuja kila weekend kwa ajili ya kazi ya kutafuta mtoto tu.
Ila naomba niulize yafuatayo:-
1. Hoteli analipia nani? Au tutafanyia kwako?
2. Nahitaji kutoa pesa baada ya tendo la kutafuta mtoto?
3. Nini kitaendelea baada ya mimba kupatikana na...
Mkuu Inanambo, ndiyo maana nimesema kuwa wengi tunatumia imani kama vichaka, ila mioyo yetu haiko safi. Ni wabaguzi, wabinafsi n.k. wengi ni wabaguzi sana kwa watu wasio wa imani yao. Sasa sijui ni wapi walifundishwa hivyo. Maana vitabu vyetu vya dini vinatuambia tuwe na upendo kwa watu wote
Kichwa habari kinahusika!
Tumezoea kuna katika mitaa yetu, kuna baadhi ya watu wanafahamika sana kwa kuhudhuria nyumba za ibada. Na huheshimika sana hata akisema jambo flani kwa sababu anaonekana ni mtu msafi na mcha Mungu.
Lakini kuna wengine ni wezi, wazinzi, matapeli, waongo, wakatili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.