hawa jamaa wajifunze kuheshimiana wenyewe kwa wenyewe kwanza. Watu kwao tu wenyewe wanabaguana leo ndio kutakuwa na mtz na mkenya kuwa kitu kimoja. Halafu wana dharau za kifala sana hao jamaa. Wao kuongea kiingereza chenye lafudhi ya kijaluo ndio wanaona wanaakili saaaaana mnaongea kiingereza...
piga chini hiyo kitu mtu wangu itakuchoresha bure. Umegundua ni kumshukuru mungu je ungeoa. Halafu anaonekana hata nidhamu kwako hana kwa majibu anayokupa unapomta mkapime. Halafu mwanangu mwanamke ukimuonyesha kumpenda kupita kiasi kuna wengine hawajui kupendwa ukimpenda anakuona **** tena.
kwenye mapenzi siku zote hakuna ushauri kwa kuwa huwezi kuubadilisha wa mtu kama amempenda hata umwambie amuache hawezi kufanya hivyo. Kwa huyo jamaa yeye apime mwenyewe ni kiasi gani anampenda huyo binti kwa sb yeye anajua tabia ya mkewe ilikuwaje tangu huko walikotoka. Kwa sb huyo mama naona...
Kuna kitu kimoja hapa tunatakiwa tuelewe wanaJF huyu kanda2 inawezekana hajalazimishwa ndoa ila huyu mdada pengine alitaka kucheck stability ya mshkaji ili aamue moja. Huyu dada hata kama past alikuwa kicheche cha muhimu hapo ni kupima afya zenu kama wote mko poa na wewe msela muda wako wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.