RTO na LATRA mikoa ya Dodoma na Singida, basi la ISAMILO T863 DSB kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza, muda huu lipo Dodoma na limepakia abiria waliosimama zaidi ya 20.
Cha ajabu basi limeingia standi kuu ya 88 Jijini Dodoma na hakuna Askari wa Usalama barabarani aliyeingia na kukagua ndani...
Wadau Assalaam alaikum,
Tumsifu Yesu Kristu
Nipo njiani natokea Ntwara kuelekea mji mkuu Dodoma.
Nina maboss wanahitaji hotel nzuri iliotulia jijini Dodoma.
Mwenye kufahamu hotel nzuri yenye rates za kuanzia 35, 40, 50, 60, hadi 120,000
Sababu kuu
Nina timu kubwa yenye rates tofauti kuanzia 30...
Wakuu, miaka 6 hadi 5 familia yangu enzi za uhai wa mzazi wetu tulikuwa na biashara Mkoani Mtwara, mtaji ulikuwa annual turnover around 0.78 billion. Baadaye tuligawagana mirathi na kila mmoja anawaza biashara zake.
Binafsi ninapenda kuwekeza kwenye kilimo cha miti ya mbao maeneo haya;
1...
Habari wakuu, nipo hapa Dar
Naombeni msaada.
Nataka kufufua gari langu natafuta hizi spare, wapi naweza kupata mpya na genuine? Bei?
5L Engine assembly (complete set ikiwa na kila kitu)
Differential (complete set)
Gear box (Complete)
2008 TOYOTA HILLUX D. CABIN, imported from South Africa
Wakuu salama,
Nipo hapa Mtwara, wiki hii ninatarajia kutoka hapa kwenda Karatu, kwa mapumziko mafupi. Ninaomba msaada hotel nzuri yenye utulivu ya kufikia Karatu Mjini.
Bajeti yangu ni TZS 20,000 hadi 30,000.
Mwenye uzoefu wa hapa Karatu anisaidie jina la hotel nzuri.
Wakuu Wasalaam,
Leo nimetokea Babati to Arusha, nimepita kwa Mrombo kupata nyama choma, nimekuta gumzo kubwa.
Vijana wachoma nyama wakaniambia Hotuba ya leo inadai Vipimo vya maabara ya Kitaifa imeonyesha kuwa nyama ya mbuzi ina homa kali ya mapafu, aina ya korona ( COVID 19).
Nipo hapa...
Mhe. Paul C. Makonda, Mkuu wa Mkoa, Heri ya Pasaka!
Tunasikitika kukujulisha kuwa Taasisi kubwa ya TBC na Taifa kwa ujumla limepata pigo kubwa la kuondokewa na wapendwa wetu ambao ni watumishi wa TBC.
Hata hivyo, tofauti na utamaduni wako wa kujitokeza hadharani mara kwa mara, umeamua kutulia...
SHALOM Baba Askofu Josephat Gwajima,
Mimi ni muumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, nipo Mkoani (Mtwara).
[emoji975]Huu ni muafaka wa kuwatembelea wagonjwa waliopo tawi la Hospitali ya Muhimbili (Mloganzila), hususani wale wenye maambuzi ya virusi aina ya COVID-19.
[emoji975]Hawa wanahitaji...
Wakuu Umofia kwenu.
Ninaomba kuulizia aina ya basi LUXURY linalofanya safari zake kutoka Mwanza kwenda Jiji la Mbeya. Na mara nyingi hufika saa ngapi Mwanza? Nataka kuunganisha safari kwenda hadi Magu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhe. William Lukuvi, Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi.
Sisi wananchi wa Halmashauri ya Misungwi tunaonewa sana.
Miaka ya nyuma, watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi wakiongozwa na ndugu Magesa na Nyasebwa walingia kwenye maeneo yetu (Idetemya, Ngudama, Bukumbi, Fela, Ng'ombe...
Mhe. William Lukuvi, Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, "ARDHI YA WANYONGE IMEPORWA NA TUNALAZIMIKA KULIPIA UPIMAJI SHIRIKISHI"
Mhe. Kwanza tunakupongeza kwa kwa juhudi zako za kuhakikisha zoezi la upimaji shirikishi linaendeshwa kwa gharama nafuu na sisi wananchi wa Misungwi DC...
Wakuu,
Mwenyeji au mwenye uzoefu na hoteli nzuri za Singida anisaidie. Bajet yangu ni minimum TZS 25,000 na maximum TZS 40,000 per night. Sipendi bendi za usiku, stand, nyumba za ibada, nk. Nahitaji utulivu na usalama wa hali ya juu..
Nimekuwa nikitumia hili jukwaa kupata huduma za malazi...
Mhe. Waziri wa Mambo ya Ndani, tunaomba sana uunde timu maalum ya kuwachunguza matrafiki wa vituo vya Tengeru na Usa River, mkoani Arusha. Wamezidi kuonea madereva na kuwabambikiza makosa yasiokuwa ya maana, ukikataa kutoa rushwa wanakuzungusha hovyo, na kukutisha kuwa wana uwezo wa kukagua gari...
Mhe. Kangi Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani, tunasikitika kukujulisha kuwa matrafiki wa Mkoa wa Arusha, haswa vituo vya Tengeru na Usa River wamezidi kuonea madereva. Ninaomba utume timu maalim iwachunguze, ikiwezekana uwawekee mitego maalam. Rushwa ni adui wa haki, kuonea watu barabarani kwa...
Wadau nina shida ya containers za futi 20 ( jumla 4) na futi 40 ( jumla 1). Naombeni msaada wapi pa kupata.
Nipo Mtwara ila naweza kuyafuata Mikoani kama Dar, Lindi, Pwani..
Wadau,
Mfumo wa kulipia parking jijini Mwanza unaoratibiwa na TARURA imejaa dhuluma tupu. Issue iko hivi; ukingia jijini Mwanza ukapaki gari lako sehemu wanapita watu/agents wa TARURA fasta na kupiga picha gari lako kimya kimya bila kumtafuta mwenye gari wanatuma TARURA. Wewe unakuja hujui...
Wadau kwema,
Naomba msaada, mwenye kufahamu hotel nzuri maeneo ya Mwenge au Sinza. Isiwe na kelele za Bar, Night Club au Kumbi za Harusi.
Budghet yangu TZS 20,000 hadi TZS 35,000. Yaani iwe na madhari nzuri na usalama 100%.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.