Search results

  1. pakamwam

    Kugesi,mtali au furungu ni mapambo tu na si vyema kuhusianisha na tabia ya mwanamke

    Nimeona kitatange wa jamii yetu wenye tabia za kuduku. Wao ni kuchi wa kupiga wanawake kwa mitazamo yao na kulastara wa tabia zao. sio lazima kuleibu awe sawa kitabia na mama yake na pia Sio lazima kila mwanamke mwenye kuvaa kugesi ana tabia za fila. Wapo waliofildhulika na ufikia kiwango cha...
  2. pakamwam

    Naombeni msaada wa mawazo jinsi ya kumsaidia ndugu yangu aliyejiingiza kwenye biashara ya rupia

    habari za mchana . moja kwa moja kwenye maada. Nina ndugu yangu ambaye alikuwa naendelea vizuri sana kimaisha. alifanikiwa kujenga nyumba ya ghorofa moja na nyumba nzuri Mbeya, Arusha na Dar es salaam. Ni mtu mwenye mke msomi ambaye naye ni mfanya kazi pia Cha ajabu kaka yangu kaacha kazi...
  3. pakamwam

    Kuhusu kuishi na wapinzani, Namshauri Rais achukue mfumo wa Rais Kikwete

    nianze kwa kusema mimi sina mrengo wa chama na ni mtanzania. Kura yangu itategemea ushawishi nitakaopata wakati huo na historia na uwezo binafsi wa wagombea pia nitangulize pongezi kwa Mh Amiri Mkuu Rais JPM. nampongeza kwenye miradi yote ya maendeleo, ukusanyaji kodi hata kwa sekta zisizo...
  4. pakamwam

    Hizi ni sababu zinazofanya Waafrika wazidi kupata UKIMWI, homa ya ini, Kansa ya kizazi na magonywa mengi yanayozuilika

    Shalom Leo nimekuwa nikitafakari swala UKIMWI, homa aya ini, kansa ya kizazi na magonjwa yanayozuilika kama kuhara na kipindu pindu Kwenye mataifa yaliyoendelea na yenye uchumi wa kati haya magonjwa yapo lakini sio tatizo kubwa kama hapa Afrika . Zipo sababu nyingi sana zinazosababisha mambo...
  5. pakamwam

    Ngano kwenye bia ni hatari kuliko kilevi chenyewe hasa kwetu Waafrika

    Habari wakuu. nimekuwa nikiandika makala nyingi zinazohusu uzito wa mwili. Nasukumwa sana kufanya hivi sababu huu umekuwa ukisababisha matatizo mengi sana. unene huongeza hatari ya kusukari, presha, stroke, na matatizo mengine ya afya Moja ya vitu ambavyo binafsi imeona vinaongeza uzito ni bia...
  6. pakamwam

    Ngano kwenye bia ni hatari kuliko kilevi chenyewe hasa kwetu waafrika

    Habari wakuu. nimekuwa nikiandika makala nyingi zinazohusu uzito wa mwili. Nasukumwa sana kufanya hivi sababu huu umekuwa ukisababisha matatizo mengi sana. unene huongeza hatari ya kusukari, presha, stroke, na matatizo mengine ya afya Moja ya vitu ambavyo binafsi imeona vinaongeza uzito ni bia...
  7. pakamwam

    Zingatia mambo haya kupunguza unene, hatari ya kisukari na presha

    Utasikia sijui kitambi cha hela au cha kuzaliwa nacho. Na mbaya zaidi hadi wadada wanavyo vitambi siku hizi. Sijui ni wanga mwingi? Pamoja na yote unene wowote ni ugonjwa na unatakiwa kuchukiwa kwa hali na mali. Asimilia kubwa ya unene unatokana na ulaji wa wanga kuzidi mahitaji halisi ya...
  8. pakamwam

    Huu ndio ushauri bora niliopata JamiiForums mwaka 2018

    heri ya mwaka mpya kwenu wote ndugu zangu napenda niishukuru team nzima ya uongozi ya jamii forum kwa kutupa sehemu ya kuelimishana, kepeana ushauri, kutiana moyo na hata kupata weza na mengine mengi sana Pia nawashakuru wana jamii forum hasa jukwaa la hoja na habari mchanganyiko. niliwahi...
  9. pakamwam

    vitambulisho kwa wajasiliamali wa mbezi na msigani muda huu

    nenda ukapate kitambulisho cha ujasiliamali kama uko mbezi na msigani kwenye ofisi za kata unatakiwa kwenda na 1. 20,000 tshngs 2.kitambulisho cha uraia au mpiga kura 3. kopi ya kitambulisho cha uraia au mpiga kura nenda ukatambuliwe mwisho kesho kutwa asante rais wetu kwa ubunifu wa aina yake
  10. pakamwam

    vitambulisho viatolewa muda huu hadi kesho kutwakwa wajailiamali walio msogani na mbezi

    nenda ukapate kitambulisho cha ujasiliamali kama uko mbezi na msigani kwenye ofisi za kata unatakiwa kwenda na 1. 20,000 tshngs 2.kitambulisho cha uraia au mpiga kura 3. kopi ya kitambulisho cha uraia au mpiga kura nenda ukatambuliwe mwisho kesho kutwa asante rais wetu kwa ubunifu wa aina yake
  11. pakamwam

    Usiwasikilize wanaobeza ajira eti ukajiajiri. Unaweza kujiajiri ukiwa unafanya kazi bado

    Nimeona watu wakiponda sana ajira za serikali na kusema ni kupoteza muda na wengine wanashawishi wengine waache kazi kabisa nianze tu kwa kusema huo ni upotoshaji wa kiwango chake. Sikuchukii biashara, ila niseme ukweli kabisa swala la kuacha kazi ya ajira na kuingia kwenye biashara sio sahihi...
  12. pakamwam

    Ukweli ni huu, hakuna usawa kwenye ndoa za kikristo wala ki-islam. Kama huwezi masharti nenda bomani tu

    Niande tu kwa kusema mkataba na maagano ni vitu ambavyo ni muhimu sana kuangalia katika maisha kabla hujaingia Kwa kiswahili sanifu agano ni tokeo la kukubaliana au kuwekeana ahadi au mapatano Mapatano ni maafiiano, makubaliano ,agano na ahadi Mapatano au maagano huzaa mkataba Mkataba ni...
  13. pakamwam

    Tushauriane: Kuoa bila kuwa na misingi imara ni sawa na kutafuta kifo

    Heshima kwenu wakuu Leo nimependa tushauriane kwenye mitazamo hii Nianze tu kusema naamini kuoa/kuolewa bila kuweka misingi imara ya kuhakikisha maisha ya wawili au watatu yaani familia yanasonga ni sawa na kutafuta kifo au kuua Ninaamini pamoja na ahadi zote mnazoweza kupeana na hasa...
  14. pakamwam

    Niulize swali lolote linalohusu vimelea vya magonjwa na kinga ya mwili

    heshima kwenu wote natoa nafasi ya kuulizwa swali lolote linahusiana na vimelea vya magonjwa, upimaji wake na kinga ya mwili kama una sehemu unatatizwa na unahitaji kufafanuliwa nitakupa ufafanuzi huo na ushauri wa nini cha kufanya yapo magonjwa mengi sana, yale yanayoambukizwa na yale...
  15. pakamwam

    Kwa wenye uzoefu kwenye ndoa hasa kuwa na mwanamke mnywaji wa pombe, naomba ushauri

    habari wanajamvi. naombeni ushauri kuhusu kuoa mwanamke mnywaji wa pombe. mimi nimekulia pombe toka utoto lakini nilipfikia miaka kama 14 niliacha mpaka sasa niko zaidi ya 28. nimekuwa na bahati sijui nzuri au mbaya. wale ninaolenga nikiwauliza hili swali unakuta anakunywa kama sio bia basi ni...
  16. pakamwam

    Kwa tunaotegemewa na wazazi, watoto wa kaka au ndugu wengine walio mbali na wewe

    heshima kwenu wapendwa katika Tanzania yetu nzuri leo nakuja na ushauri kidogo. unafurahia sikukuu ya leo na inayokuja, usisahau kuwakumbuka wale wanaokuangalia. furahi nao kwa kuwatumia pesa ya kula kitu kizuri wakipenacho. hii itakuletea furaha na amani zaidi na pia ni jambo la kibinadamu...
  17. pakamwam

    upweke na kukosa shughuli baada ya kazi zako jioni ni moja ya tatizo linafanya porno or movie au series addiction

    habari mliobarikiwa upendo, amani, umoja licha ya kuwa na vyama tofauti na utu ambao kwa jina la ujumla tunaitwa watanzania leo nakuja na kichwa kama kilivyoandikwa hapo juu kwa maisha yalivyo sasa vijana wengi wa mijini huchelewa kuoa kwa kiasi fulani ukilinganisha na wa vijijini. hii...
  18. pakamwam

    wanyonge tulionyongeka tukutane hapa

    habari nimeanzisha huu uzi mahsusi kabisa kwa ajili ya wale wanyonge walionyongeka kunyongeaka ni nini? kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa mnyonge sababu ya haki zako kupindishwa kwa namna fulani. hapa utafaniiwaje. hapa utapewa ushauri wa namna ya kwenda na jambo lako kwa uwazi na wajumbe...
  19. pakamwam

    Ninafanana tabia na Rais Magufuli, naelewa sana anaposema anapenda kusifiwa

    Watu wengi wamekuwa wakishangaa kauli za Rais wetu. nyingi ni za kawaida sana kwa aina ya kundi ambalo Rais yupo. hawa watu wanahitaji akili nyingi sana kuwaelewa Mimi nimeona kwenye mambo mengi nashabihiana naye sana tabia kwa hiyo namuelewa sana na ningependa kuwapa ujuzi wa kumuelewa Rais ili...
  20. pakamwam

    Dunia haina huruma na usikae hata siku moja kusubiri huruma

    heshima kwenu wote wakubwa na wadogo leo nakuja na maada ya duniahaina huruma na usikae hata siku moja kusubiri huruma. nimedhirisha hili katika mambo mengi sana. niaelezea kiunaga ubaga maeneo machache niliyojifunza na kuona uhalisi wa hili 1. upande wa siasa. tuna wanasiasa wetu wanaojua...
Back
Top Bottom