Search results

  1. T

    Peanut butter

    Wadau wa mapishi. Naomba mnisaidie jinsi ya kuweza kuandaa siagi ya karanga.
  2. T

    Nawezaje kupiga screen shot kwenye Samsung galaxy gland ?

    Habari wadau naomba mnisaidie jinsi ya kuscreen shot kwenye simu ya samsung galaxy gland mimi sina utaalamu sana na hizi simu za android.
  3. T

    Naomba msaada wa kubadilisha kioo cha samsung galax

    Wadau nimeangusha simu yangu samsung galaxy gland na imepasuka kioo cha juu ingawa inafanya kazi ila nahitaji kubadilisha kioo niko tabora kama kuna mwenye kujua naomba ushauri au maelekezo juu ya nini cha kufanya tafadhali
  4. T

    ngongongo, hodiii

    Habari jf members??naomba mnipokee mgeni wenu tafadhali!
Back
Top Bottom