Search results

  1. anthomata43

    Walimu kigoma washerehekea mei mosi bila mishahara

    Nashangaa kuona walimu waliopandishwa madaraja tokea mwaka jana mwishoni hawajaanza kulipwa. Je ilikuwa kiini macho au daganya toto. Mbona Rais kasema waajiri wasiwapandishe wafanyakazi kama hawana uwezo wa kuwalipa. Hayo madeni yanayotengenezwa nani atayalipa?
  2. anthomata43

    Popularization of science in tanzania

    By ANTHONY MATHIAS KAYEJI 2010 HOW SCIENCE CAN BE POPULARIZED IN TANZANIA Tanzania like many other countries in the world has been making deliberate efforts towards developing and improving science education. Since independent Tanzania strived to develop the formal science education apart...
  3. anthomata43

    Ushauri Wangu

    Siasa na Elimu lazima zitenganishwe chuo kikuu UDOM, lasivyo hatufiki mbali.
  4. anthomata43

    Nani alifanya "Due Diligence" ya Dowans?

    Namuomba Rais JK aangalie sana Richmound itamuweka pabaya uchaguzi wa 2010. Kwani wananchi wanamuona kam yuko upande wa mafisadi hivyo namuomba ashughulikie mapema iwezekanavyo.
  5. anthomata43

    East Africa Fibre Optic Cable: Connectivity, issues & progress

    optical fiber is very important in Tanzania simply because our internets are very slow currently.
Back
Top Bottom