katika ndoa ni lazima kuaminiana. nobody is perfect. wewe unatafuta nini kwenye simu ya mwenzio? simu zimevunja ndoa nyingi, un - neccessarily. kuchamba kwingi kutoka na m*vi. ushauri wangu; mpaka amekuoa ww, ujue anakupenda. kwani ameacha wangapi? acha kupekua simu ya mumeo.
zitto kasema wakati umefika sasa kwa watu kuchangia public broadcasting (siyo lazima iwe tbc). tena michango hiyo itatokana na levy fee kwenye decoders.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.