Hata mie nimejaribu na kupewa maelekezo kama hayo, kudeposit $70, lakini mie nina wasiwasi, sidhani kama kuna chuo kinatumia account ya mtu
binafsi, mmhh!
Leprosy ni Ukoma, ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na vimelea waitwao (Mycobacterium leprae au M.Leprae), huathiri ngozi na mishipa ya fahamu. Ugonjwa huu huunezwa kwa njia ya hewa, mgonjwa wa ukoma ambaye haajanza matibabu akipumua au kupiga chafya husambaza vimelea hivyo kwenye hewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.