Ndugu wewe unaongelea history ya family na kwa vigezo hivyo unavyovitaja ndiyo silaha wanayoitumia kwani watu wanajaribu kuwaamini kwa kutumia cv unayosema.
Sibahatishi wala sibabaishi Juu ya hili ninazo concrete evidence za kuthibitisha hili na muda ukifika nitaanika nyaraka za watu wote...
Kamati ya Mpito inayosimamia Msikiti wa Ijumaa Jijini Mwanza imekuwa ikiwatapeli mamilioni ya fedha wafanyabiashara wa hapa kwa kuwalipisha pesa na kuwapa mikataba ya kupanga vyumba ambavyo tayari vinao wapangaji. Ajabu unakuta chumba kimoja kimelipishwa watu zaidi ya watano na wote wamepewa...
Mkuu naona wewe hujawahi kumiliki wala huijui vizuri BIGHORN. Mimi ninayo model ya 1996 engine ya 4JG2 AT mwaka wa nane sasa na katika magari ambayo Japan walitengeneza kwa uimara kabisa ni hili. Halibagui barabara na limetulia sana barabarani. Mwanzoni kulikuwa na changamoto ya spare parts...
Mkuu hivi umeelewa HOJA yangu kweli?
Kuna haja gani ya kutukana? Mie sijaongelea hizo siasa zenu, nimejikita kwenye hali halisi ya mkoa wetu na changamoto za usafiri tulizo nazo na kwamba unafuu wa bei ungechagiza ukuaji wa uchumi kwa wananchi wengi kuutumia na kunufaika nao. Kamwe tusiufanye...
Salaam Wadau!
Nimekuwa nikifuatilia taarifa mitandaoni kuhusu hizi nauli za ndege za AIR Tanzania kati ya Mwanza na Bukoba ambapo kwenda tu itakuwa shs 140000. halafu Mwanza to Dar tshs. 160000.
Kama ndo kweli inakuwaje safari ya saa 1.30 ( Mza- Dar) itofautiane na safari ya karibu nusu saa...
Anatory Amani.....yule dr feki????? Je umeona anavyozomewa na kutukanwa hata kwenye kura za maoni. Inawe
zekana na ni kweli Kagasheki hafai lakini Amani ni ovyo kabisa.
Ukiweka ushabiki wa kisiasa, hapa kuna hoja muhimu inayotaka tafakuri mujarabu. Tusifumbe macho na fikra zetu kwa sababu yu ya uchaguzi wa octoba halafu tukaja kujuta baadae. Tuwe makjni.
Kwa mujibu wa harakatinews.com mkuu wa mkoa wa zamani wa Ziwa Magharibi, Mbunge wa jimbo la Bukoba Mjini mstaafu na Meya mstaafu wa Bukoba amefariki dunia huko mjini New York USA alikokuwa akitibiwa.
RIP COMRADE RUHANGISA
Naomba nitofautiane na wachangiaji wengi hapa. Mie baada ya kusoma zile email alizokuwa akitumiana na Zito nilijua kabisa huyu kwisha unaibu katibu. Maana kwa nafasi yake kama kiongozi mwandamizi hapaswi kufanya mipango ya kukihujumu chama kwa kumuandalia Lowasa nafasi huko ACT. Nadhani hoja...
kama lowasa siyo mwizi wala fisadi basi naapa hakuna fisadi wala mwizi hapa duniani na haya maneno yaani fisadi na mwizi yatolewe kwenye orodha ya maneno kwenye vitabu vyote kuanzia kamusi kwani hayana maana yoyote.
Unang'ang'ania fenicha tu tuambie na bidhaa nyingine zinazopatikana humu humu ili tusiendelee kuagiza hizo za nje. Mfano wazi nenda kwenye duka la mangi mtaani kwenu kama si unga mchele maharage ndo vya hapa nyumbani vilivyobaki ni kutoka nje mpaka wembe hata pamba za masikioni. Labda mwenzetu...
Naomba kuuliza:Kwa kuwa wanajeshi walishaudhibiti uwanja wa Bujumbura kwa nini hawakumwacha atue halafu ndo wamkamate baada ya kushuka? Je kama issue ilikuwa kumuua isingewezekana akiwa nje ya ndege tena ndani ya nchi yake?
Mleta mada hii hali inatisha lakini rekebisha Gozibert Begumisa Blandes siyo mbunge wa Kyerwa bali ni wa jimbo la Karagwe. Mbunge wa Kyerwa ni Eustace Katagira. Tufafanulie vizuri.
Hivi sisi Watanzania tumerogwa na nani? Hata hiyo mil.150 tunayolipa kila siku hamuioni? Binafsi nashindwa kuelewa ushabiki kwa watu wabovu kama huu ni njaa, ujinga, kujipendekeza ama nini. Yaani katika watz zaidi ya 40m hakuna mtu msafi na mwadilifu mpaka huyu tu mwenye uchafu wa kutisha...
Hata mimi nilikisoma hiki kitanu kwenye primary kinaitwa MWANAMALUNDI:MTU MAARUFU KATIKA HISTORIA YA WASUKUMA. Ajabu hivi vitabu vyenye historia zetu havichapishwi tena. Mitaani kuna vitabu vya mapenzi, jinsiya kupata hela haraka na hata stori za kina Obama na Osama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.