Search results

  1. masanzu

    Style ya leo kumuaga marehemu

    Leo wanasimba kwenye vibanda vya magazeti walikuwa wanasoma vichwa vya habari Kama wako kwenye kumuaga marehemu😀😀😄😄😄😄😄😄
  2. masanzu

    Jwtz niliowaona mkoani mara leo kwa Rais magufuli

    Habari wanajamvi leo nilikuwa natoka msoma naelekea mwanza bahati nzuri nikakuta rais akihutubia wananchi Bunda.kitu kilicho nivutia na kunishangaza mpk kuandika huu uzi ni walinzi wake tumezoea kuwaona jwtz wakiwa kwenye sare tulizo zizoea leo nimeona sare tofauti kbs hivi wale ni wanajeshi wa...
  3. masanzu

    Masaa yameongezwa badala ya 24 kwa siku sasa ni 48 sisi taarifa hatuna

    Wanajamvini miaka 10 ya Mh Mrisho mimi sikumbuki hata iliishaje nilikuja kustukia tu uchaguzi Mara uncle Magu siku zimegoma kbs kusogea au majira yamebadilika masaa yameongezwa badala ya 24 yamekuwa 48 sisi taarifa hatuna
  4. masanzu

    Kumbe nilikuwa nakosea kumchukia Mkwere

    Hbr wanajamvi Nakumbuka enzi za uongozi wa Mh JK binafsi nilikuwa nachukia sana utawala wake kutokana na tuhuma za rushwa ufisadi.Cha kushangaza zaidi ezi za JK pamoja na hizo tuhuma maisha yalikuwa mepesi sana Mfuko wa saruji hapa mkoani kwetu ulikuwa Tsh 12500 leo 15000 Bati 12000-14000 leo...
  5. masanzu

    Hivi ni umri gani unafaa mtoto kuacha kulala chumbani kwa wazazi?

    Habari wanajamvi, Leo rafiki yangu yamemfika ana watoto wake wawili mmoja ana umri wa miaka 4 wingine ana umri wa mwaka na nusu hivi. Huwa analala nao chumbani kwake yule mkubwa analala kwenye kitanda chake wao wanalala kitanda kimoja na huyu mdogo. Sasa usiku wa leo jamaa kaamsha kitu cha...
  6. masanzu

    Bidhaa walizo ziacha Wajerumani

    Nilikuwa niko bush mmoja hivi nikabahatika kukutana na vitu hivyo kwa mzee mmoja ambaye alikuwa mwenyeji wangu akaanipa story yake mwenyewe anasema ni mmoja ya bidhaa walizo ziacha wajerumani ni jiko na kufuli ila kilicho nivutia ni jiko halihitaji kuwa na kiberiti ukigusisha msumari linawaka
  7. masanzu

    Kuuliza siyo ujinga, hii kitu huwa naiona sana huku Pwani

    Hii kitu naiona sana pwani kwetu bara ni vitu vyakigeni hata sielewi maana yake
  8. masanzu

    Kivipi nirudi kijijini

    Kilo mmoja ya mbaazi ni tsh300 Kilo mmoja ya makopo ya plastiki ni tsh 450 Halafu eti lijitu linaniambia nirudi kijijini nikalime weeee
  9. masanzu

    Mwenye uzoefu na Baypot

    Hbr wanajamvi ningependa kufahamu kutoka kwenu wanajamvi kuhusiana na hii taasisi inayoitwa baypot kuhusu utoaji wao wa mkopo baada ya kukamilisha vigezo vyote mikopo yao inachukuwa siku ngapi hadi unapata mkopo na je?hawa watu si wababaishaji vipi kuhusiana na rushwa
  10. masanzu

    MBINGA KURUGENZI SACCOS JIPU LILILOKOSA MTUMBUAJI

    Mbinga kurugenzi saccos ni jipu lililoiva lakini halina mtumbuaji ubabaishaji kwenye hii saccos umeshamili imefika baadhi ya wanachama wanaamua kujitoa.Na hata ukijitoa shughuli kubwa ni kwenye malipo yako utasota kufuatilia pesa yako zaidi ya miezi 4 unazungusshwa wanakupa majibu mapesi mepesi...
  11. masanzu

    msaada wanajamvi#

    habari zenu wanajamvi natumai muwazima wote jamani mimi ninatatizo katika simu yangu aina ya tecno c8 tatizo lenyewe nikwamba ninapo mpigia simu mtu akipokea tunaongea vizuri tu shida inakuja pale ninapo kata simu nikija kuangalia no iliyopigwa ile no siikuti na kama nimepiga mimi nakuta 0 haipo...
  12. masanzu

    msaada please nimechoka

    Habari wanajamvi Jamani shida yangu ni mmoja tu nahitaji ni app gani ambayo itaniwezesha ili kuweza kuhuck simu ya wife maana mmmh please serious mwenye uelewa
  13. masanzu

    msaada please nimechoka

    Habari wanajamvi Jamani shida yangu ni mmoja tu nahitaji ni app gani ambayo itaniwezesha ili kuweza kuhuck simu ya wife maana mmmh please serious mwenye uelewa
  14. masanzu

    TBS jipu lililoiva linahitaji kutumbuliwa

    Habari wana jamvi, Huwa najiuliza sana hivi hili shirika LA viwango Tanzania wanafanya kazi ipi maana utasikia zimekamatwa bidhaa bandia na TFDA tena madukani na vimepitia bandari yetu au kupitia kwenye mipaka yetu huwa najiuliza sana hawa TBS kazi yao ni ipi sasa. Maana hata ukienda madukani...
  15. masanzu

    Kuolewa na mhamiaji haramu sheria inasemaje?

    Hbr wanajamvi kuna ndugu yangu kaolewa na raia wa kigeni ambaye anaishi nchi kwa kibari kilicho isha mda wake na juzi katiwa mbaron yy na mme wake.je sheria kwa upande wake muolewaji inasemaje?
  16. masanzu

    Msaada wanajamvi

    Ni simu ipi kati ya android na window phone inafaa zaidi kwa matumizi au nini tofauti ya hizi simu mbili ktk matumizi
  17. masanzu

    Nampenda tatizo namuogopa

    habari zenu wanajamvi jamani mimi natatizo mmoja kuna binti nampenda lakini shida inakuja pale napotaka kumumwagia sera zangu nashikwa na woga kunapindi nilimpigia simu nikamwambia nashida ya kuonana naye kweli mtoto akaja nyumbani alipo fika kama kawaida woga ilibidi nibadili shida yangu...
  18. masanzu

    Sifa za mwanamke wa kimachame

    Habari zenu wanajamvi naomba kufahamishwa sifa za wanawake wa kimachame MAZURI YAO NA MABAYA YAO asanteni naomba kuwasilisha.
  19. masanzu

    Nafuta mke aliyezaliwa 08/02/1980

    Hbr wanajamvi kama kunamdada aliye zaliwa 08/02/1980 mpaka sasa hajapata mme basi anipm na shaka aondoe amempata ila baadaye ntahitaji uthibitisho asante siku njema
  20. masanzu

    Nmb mobile si salama wizi wakishirikiana na airtel

    Hbr wanajf napenda kuwatadhalisha wanaotumia nmb mobile kuna wizi mkubwa ndani yake.mimi nilijiunga na huduma hii kwa line ya airtel baada ya muda line yangu ikaanza kunisumbua mara inakufa naenda ku-renew hivi karibuni ikafa tena nikaamua kuipotezea leo nikaenda bank ilinikachukue umatemate...
Back
Top Bottom