Maamuzi aliyoyachukua kafulila mbona in sahihi kabisa. Maana hata wale wabunge ambao wapo bungeni hamna jipya wanalolifanya huko tofauti na kupiga kelele tu.
Hapa tatizo sio kutokupiga kura bali in kura kuharibika. Ukweli ni kwamba wale wajumbe saba walioharibu kura ni mbumbu mno. Ni heri ingejulikana kwamba hawakupiga kura kuliko kuharibu.
:majani7:Kisayansi na ukweli Muundo wa serikali tatu ndio unafaa kwa sasa . Maadamu Zanzibar hawataki Muungano wa serikali moja hatuna namna nasi ni kuwa naTanganyika yetu tuking'ang'ania serikali mbili hakika Muungano utavunjika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.