Kumbe ni matapeli Mkuu?
O.M.G wamempigia ndugu yangu mmoja kaambiwa aende kesho kwa ajili ya kufanya registration ila kaambiwa aende na shilingi elfu 30 Tsh basi ngoja nimwambie aachane nao japo sijui kama atanielewa maana anapambana sana na kutafuta ajira.
Hi Wapendwa nauza simu aina ya Tecno Phantom 8
Specification zake RAM-6GB Internal memory 64GB
MaH-3500
Iko kwenye good condition sijawahi ipeleka kwa fundi na haina tatizo lolote lile imetumiwa na mm mwenyewe Mwanamke, kama mnavyojua Wanawake hua tuko vizuri kwenye utunzaji.
Camera: Camera...
Ndugu zangu wanaJF najua humu ndani kuna Ma-Managers mbali mbali kwenye Taasis za Umma na Binafsi, humu ndani kuna Waheshimiwa Wakuu wa Mikoa yote, kuna Wabunge humu, kuna Ma -HR's mbali mbali, kuna Ma-C.E.O. mbali mbali, kuna Waheshimiwa Mawaziri mbali mbali, kuna Madaktari wakubwa, kuna Wakuu...
Dah😭umeongea kwa uchungu sana mm kama mwanamke mwenzako nimeguswa sana. Connection za kazi sina ila ningekua nazo ningekusaidia
Vip umeshapata kazi mpaka sasa????ushapata yoyote aliekusaidia kupata kazi??
Ingia PM yako nikutumie ata Laki 1 niliyojaaliwa nayo kwakua uko Mama pamoja na...
Usizungumze usilolijua mm mbona ni mke wa Kwanza na nimekaribisha wenzangu wanne? Ni kiasi cha kumshiba MUUMBA tu na kua na Subra katika ndoa na Mume akiwa muadilifu wala hakuna shida katika ukewenza
Usiwe m'binafsi hutaki ukewenza Wanawake wengi huko mtaan hawana Ndoa, na wanahitaji stara, kuliko Mume akazini huko nje na kuongeza list ya vimada si bora aoe tu apate thawabu na astiri Wanawake wenzetu,
Anaonekana ana hofu ya MUUMBA na anajilinda ndio maana ameogopa asije mtia dhima huyo...
Habari Wapendwa Wazazi/Walezi,
Nawaomba muwe makini na watoto wenu wanaoenda Shuleni,Madrassa na Tuition,Kumekua na hali ya Sintofahamu maeneo ya Tabata Kimanga sehemu moja iitwayo Savanna au Kwa Bibi Khalifah- kuna mmama mmoja mweusi anaesemekana akipendelea kuvaa sketi,blauzi na mtandio...
ata me nimenunua boom j8 yangu last week na hilo tatizo la touch kua ngumu nimeliona kwakweli inanitia simanzi,,nashindwa kuelewa ni kwanini
me yangu nimeinunulia kwa mawakala wao tecno pale posta jumbo shop na touch ni ngumu kama unavyosema ngoja wataalam waje labda tutapata suluhu
Iyo kidogo kwangu itakua ngumu kubadili line nitapoteza contact's muhimu..au line inabadilishwa lakn namba yako inakua ile ile ya siku zote?..nisamehe kwa maswali mengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.