Kwa uzoefu nilionao wa kufanya kazi private kwa mikataba...
Pesa ya mafao unayoweza kuchukua NSSF ni
1. Fao la uzazi
2. Fao la kukosa ajira/kusitishwa ajira
Ila hii ni kwa wale ambao wana elimu ya certificate sina uhakika sana kwa diploma ila kwa ngazi ya degree na kuendelea inasumbua sana...
Woiiiii
Nimecheka sanaaa
Mdogo angu kakopa huko, wamedukua namba ya mume wake wakatuma msg ya kumdai pesa
Shemeji anataka kujua pesa imeenda wapi na kwanini dogo kakopa bila kumtaarifu
Aisee hizi application za kuzikimbia ntakomaa na MGODI tu wa vodacom
Ni kweli wanaume wengi sio msaada kwa wake zao, wote tunafanya kazi za kuingiza kipato cha familia, wote tuna pay bills but when comes to kazi za nyumbani tuna achiwa kina sie
Sasa maisha sio magumu sana na hatutakiwi kuchoka sana[emoji1]
Nguo zenu zitafuliwa kwa washing machine
Wali utapikwa...
Kabisa mkuu, tangazo limeanisha saa Saba mchana then interview inafanyika saa nne asubuhi..natamani kujua je ni kwa kanda na kada zote wamefanya hivi ??
Aisee Kuna mdogo angu analia hapa..alipangwa interview kanda ya Mbeya(afisa tawala ll) muda saa Saba kamili mchana.Ameenda saa sita amekuta wameshafanya
Hii inakaje jamani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.