Search results

  1. amaizing

    Dunia iliishia 1999

    Aiseeee,[emoji1732][emoji854]
  2. amaizing

    Jinsi ya kula Mkeka kwa Muhindi

    Woiiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  3. amaizing

    Tetesi: Hospitali ya Ipamba wagonjwa na wauguzi hupotea tu

    Nipo Iringa na sijawahi kusikia hii issue Na nimeuguza wagonjwa hapo na mimi kutibiwa pia [emoji848][emoji848][emoji848]
  4. amaizing

    Kuna uwezekano wa mtu kuchukua pesa NSSF kabla ya kuacha kazi?

    Kwa uzoefu nilionao wa kufanya kazi private kwa mikataba... Pesa ya mafao unayoweza kuchukua NSSF ni 1. Fao la uzazi 2. Fao la kukosa ajira/kusitishwa ajira Ila hii ni kwa wale ambao wana elimu ya certificate sina uhakika sana kwa diploma ila kwa ngazi ya degree na kuendelea inasumbua sana...
  5. amaizing

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Duuu, mwaka mpya mambo bado ya zamani
  6. amaizing

    Makapuku Forum

    Makapuku forum since April 2016 Kitambo sanaaaa
  7. amaizing

    App zinazotoa mikopo mitandaoni zina riba kubwa sana, ukichelewa rejesho wanatuma SMS kwa namba zote ulizowasiliana nazo

    Woiiiii Nimecheka sanaaa Mdogo angu kakopa huko, wamedukua namba ya mume wake wakatuma msg ya kumdai pesa Shemeji anataka kujua pesa imeenda wapi na kwanini dogo kakopa bila kumtaarifu Aisee hizi application za kuzikimbia ntakomaa na MGODI tu wa vodacom
  8. amaizing

    Nampenda Mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege.

    Hapana hapa tunamuongelea Christopher Mwakasege na sio huyo Mwakasrge mlevi wa konyagi
  9. amaizing

    Kumbe kuoa ni kugumu hivi? Aisee mniombee niko hoi bin taabani

    Bada hujasema, mpaka usemeeee[emoji23] Kijana ulilazimishwa kuoa? Je uliyemuoa mnafahimiana vizuri???
  10. amaizing

    Ni sahihi kumfanyisha mkeo kazi za ndani ilihali na yeye ni mwajiriwa

    Ni kweli wanaume wengi sio msaada kwa wake zao, wote tunafanya kazi za kuingiza kipato cha familia, wote tuna pay bills but when comes to kazi za nyumbani tuna achiwa kina sie Sasa maisha sio magumu sana na hatutakiwi kuchoka sana[emoji1] Nguo zenu zitafuliwa kwa washing machine Wali utapikwa...
  11. amaizing

    Unajua unaweza kuwa chanzo cha kuharibu maisha ya baadaye ya mtoto wako kwa kuweka picha/video zake mtandoni?

    Uko sahii mkuu, Watoto wa sasa wanaishi katika ulimwengu mgumu sana..wazazi tujitafakari na tuchukue hatua
  12. amaizing

    Leo tuwakumbuke wanamuziki wa mamtoni waliotamba miaka ya nyuma

    Joe Thomas, Bow wow, Nelly, mwamba TI
  13. amaizing

    Top 3 Of all time kwa hapa Bongo

    1.Ngwair 2. Mwana F 3. Prof J
  14. amaizing

    Nini kinasababisha wanawake wengi siku hizi hawana mvuto wa kike, wengi sura ngumu, shapeless wengi vitambi kama wanaume hata miondoko ni kama wanaume

    Dah nimecheka sana..na weusi wangu huu ebu niache kupaka red [emoji182] lipstick[emoji23][emoji23][emoji23]
  15. amaizing

    PSRS interview questions (written, pract & oral)

    Kabisa mkuu, tangazo limeanisha saa Saba mchana then interview inafanyika saa nne asubuhi..natamani kujua je ni kwa kanda na kada zote wamefanya hivi ??
  16. amaizing

    PSRS interview questions (written, pract & oral)

    Aisee Kuna mdogo angu analia hapa..alipangwa interview kanda ya Mbeya(afisa tawala ll) muda saa Saba kamili mchana.Ameenda saa sita amekuta wameshafanya Hii inakaje jamani..
  17. amaizing

    Material hizi zimepitwa na wakati

    Da JF raha sanaaa
Back
Top Bottom