Unasema alie iba, je walioiba wako wapi? hivi lini mtu atakuwa mzalendo, yaani wewe kwa sababu unafaidi huo mfumo mbovu unadhani na wengine wapo hivyo!
Sijui nani atatua hili tatizo la trafic kulazimisha fine na kupokea rushwa ya kulazimisha sijui ni nani atawasaidia watanzania kwa hili,mfano nipo tbr hapa trafic alinikamata akasema motor vehicle imeisha nikamwambia nimeshalipia nasubiri stiker tu,alikataa nikampa number ya tra ya kuangalia...
wewe kweli bure ya ghali,yaani mtu hana adabu anampiga mtu mzima leo anakuwa dc,nahapa nashauri cdm kujipanga vyema mwaka maana baadhi ya nondo ndiyo hizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.