Mimi ni mwajiri wa Dr. John Pombe Magufuli, nimemwajiri kunitumikia, alete maendeleo kwangu na kwa taifa zima.
Nitakuza kichaa endapo nitaacha kumshauri, kumsema na hata kumkosoa pale anapokosea. Ni ajabu mtu nimemwajiri halafu nisimseme, kumkosoa na kumshauri.
Naona kwa sasa umezuka mchezo wa...
Ulipiga vibaya hesabu za MAGAZIJUTO, sasa unajua kosa lako. Ulidhani wazungu watakutetea, hapana. Umelamba "pyola".
Huwezi ongoza na nakuhakikishia kwa umri wako ulivyokimbia, hakika umejifuta mwenyewe kwenye siasa.
Pole sana my brother, rudi Pemba ukalime mwani na ukale urojo sio kuishi...
Habari za siku tele wanajamvi.
Leo tupo ktk ukumbi wa CCM hapa mjini Dodoma ambapo wajumbe wa kamati kuu wakiwa na kikao adhimu cha kujadili wanachama waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi ya kuongoza taasisi ya urais.
Mimi si mjumbe wa kamati kuu ila nipo hapa "ikulu" ktk harakati za...
Nimeshangazwa na kitendo cha baadhi ya wanachama wa CHADEMA kufurahia na kushangilia kuhojiwa kwa baadhi ya wanachama wa CCM na kamati ya maadili ya chama.
kuna watani wangu wa kisiasa hapa mtaani ambao ni wanachama wa CHADEMA wakawa wananiambia kuwa "safari hii mtagawanyika kama karata"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.