Tatizo lako umejaza chuki moyoni na hivyo kukosa busara! kama wana Mtwara wangekuwa na chuki kama zako basi wasingempokea Lowassa kwa kishondo alipokuja Mtwara kwenye kampeni na wala wasingempigia kura nyingi Lowassa kumzidi Magufuli.
I am not ready to share any of you nasty and stupid stories about you hopeless life. After all, you are among the hoodlums who loiter in American streets pretending to have achieved economically while not.
Lazima unamatatizo makubwa ya akili wewe mtoto! kwanini usimshauri mama yako mzazi ambaye anafanya umalaya katika umri mkubwa ili ajikimu na maisha wakati wewe mtoto wake upo hapa mtatandaoni ukijinasibu kuwa na maisha mazuri? Yakupasa umshukuru Kikwete kuunda mtandao ambao ulikubeba la si hivyo...
Kama unamsema Yericko Nyerere basi huijui historia yake na inaonesha unachuki binafsi dhidi yake, Jina la Nyerere hakujipa yeye bali ni jina alilolitumia Msambila mwenyewe. Hivi jina hilo kwanini linakurusha roho? mbona kuna watu kibao wanatumia majina ya Samora, Nkurumah, Kaunda, Kambona... na...
Chama, unamajivuno na kibri kupita kiasi! hawa unaojadiliana nao hapa huwafahamu kwa kuwaona! iweje uwashambulie hivyo? Unajikweza bila sababu ya msingi! Kwa majivuno haya inaonesha jinsi gani ulivyo mtupu kichwani kwako. Hata elimu unayojinasibu nayo inaelekea ni elimu iliyo kwenye vyeti na sio...
Kijijini kwangu tulichangishwa pesa na nguvu zetu kujenga zahanati ya kata, tukaahidiwa waganga/wauguzi na dawa, lakini mwaka wa kumi huu hakuna cha mganga wala dawa. jengo lenyewe limekuwa makazi ya popo na mapanya. Leo anakuja MwanaDiwani na ngonjera zilezile za shetani... Oh! Kinana kanywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.