habari wakuu nmenuua juzi sony experia z..tatizo lake inasoma 2G haipandi zaidi yaapo wakati specification zake ni 4g,,,location ipo nzur coz simu niliokuwa natumia ni ya kawaida (b-elite) ilikwa isoma 3G karibia mda wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.