Utoaji wa elimu ni huduma. Walishaambiwa wanapopandisha ada wawe nakibali cha kamishina wa elimu, lakini hawafanyi hivyo! na ada zao hazilingani kila mwenye shule akijisikia anapandisha ada! lazima mpewe ada elekezi mlizidi mno!
Nasikia kuna nyumba imeungua Geita mtaa wa Nyankumbu usiku wa leo na watoto 3 kufia kwenye nyumba na mmoja kafia baada ya kufika hospitalini! Mlioko Geita tupeni taarifa.
Hilo ni gumu ndugu yangu. Hizo zilikuwa mbwebwe zenu kuona kusoma kwenu kuna mawazo mapya! Mngetumia waheshimiwa madiwani mngefaulu. Isitoshe Tanzania moyo wa kujisomea umeisha. Hata wachangiaji wa mada hii hawapo.
Kwetu Mwanza (Buhongwa) umeme ulikatika saa 7mchana ukarudi saa2 usiku. Ukakatika tena saa2:30 haujarudi tena mpaka sasa. Inakera sana na katizo la umeme halikutangazwa!
Geography inaelezea kuwa mistari ya longtude hutumika kupata saa . Saa moja dunia hujizungusha nyuzi 30. Kuna kanda za kuchukulia masaa. Muda huwa haubadiliki katika tofauti ya masaa. Kama mnatofautiana saa 1 itaendelea kuwa hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.