Yaani kitaa ajira hamna alafu niache kazi ccm bana we unaongea pumba kwa sababu watoto wako ushavuna hela za tz ya vibanda unawalisha yaani ni natamani hata kwenda kujiunga na jeshi la Somalia au congo maana hili la kwenu mnawekaga watoto wenu kwakuwa mnajua hakunaga vita bongolala apa.
ndg zanguni wana jf naomba mnisaidie kushare maana wilaya yng ina mapato sana lakini mtu akifika mafinga mjini ni pachafu jamani daah hadi kero. Nataka niulize kwa ndg zanguni wa mafinga mjini hivi hakuna uongozi? chakushangaza kuna watu wanapita mtaani wanachangisha eti kwa ajili ya kuchangia...
kwahiyo tuendelee kuibiwa tu some time tusikae tu na kuanza kupinga hata ukweli jamaa yukoi sahh kabisa bushi co mungu km unamuogopa unamuogopa ww na ndgzako...
wazee wa kutegemea mteremko mbna ndo zenu mkiambiwa ukweli mnamaindi tumekusoma kaka lissu hapa ndo naamini haki mbinguni hata uwe mkubwa vipi Duniani mbinguni km ulikosea ni hukumu tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.