Nina safari ya kwenda Makambako Njombe,siku Ya kesho tarehe 23.12.2015 ila mabasi yote ya huko yamejaa. Kwa yeyote mwenye usafiri na anaelekea njia hiyo msaada tafadhari. tupo watu wawili
Tunatokea Dar kwenda Njombe.
Tupo wawili mie na wife tuna begi moja
Waziri wa Elimu akiwa Tabora katangaza kuwa kuanzia mwaka wa masomo 2014/2015 hakutakuwa na ngazi ya cheti daraja la Tatu A ualimu badala yake ni diploma tu.Je vyuo vya binafsi ambavyo tayari vina wanafunzi wa Grade A tayari itakuaje? Nina mdogo angu yupo chuo cha Ualimu Ebonite Kimara...
Jamani wanajukwaa naombeni msaada wenu,wakati nasafisha sikio kwa kutumia zile pamba za masikio,bahati mbaya kile kipamba cha mbele kimechomoka na kubaki kwenye sikio,ishu inakuja kwenye kukitoa.Je ile pamba yaweza kkuwa na madhara makubwa kwa sikio?
Kama kuna mtu anayejua mahali shule hizi zilipo anielekeze
1.KIBUGUMO SECONDARY-Inapatikana TEMEKE
2.MAKURUMLA SECONDARY-Inapatikana KINONDONI
Naomba nijulishwe exactly location yake zilipo na nikitokea Ubungo naweza fika namna gani.
Ninajua tu kuwa moja ipo Temeke na Nyingine halmashauri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.