Nina safari ya kwenda Makambako Njombe,siku Ya kesho tarehe 23.12.2015 ila mabasi yote ya huko yamejaa. Kwa yeyote mwenye usafiri na anaelekea njia hiyo msaada tafadhari. tupo watu wawili
Tunatokea Dar kwenda Njombe.
Tupo wawili mie na wife tuna begi moja
CUF wasijidanganye na ZANZIBAR endapo UKAWA utavunjikA SEIF asahau kuingia IKULU na huenda wakapoteza majimbo mengi,then kwa Bara pia CCM Itaburuza kama kawaida ila kwa UBUNGE CDM watapata viti vingi zaidi tena vingi mno,bado CDM wataendelea kuwa Kambi kuu ya Upinzani
Mi huwa nawashangaa watu wanaombeza Mnyika kuwa hana digrii.Mnyika ni kweli.hajagraduate lkn kile kichwa kinakosa tu ushahidi wa cheti lkn kichwani ni zaidi ya hao waliograduate
Hamjamuelewa Lissu,kuhusu pornograph kasema kwa jinsi sheria ilivyo hakuna mtu atakayekamatwa na kosa na wasitegemee kumfunga mtu kwa vile pornography chafu hazijawa defined.Nyie mnaongea nadharia Lissu yupo kwenye uhalisia.Kwa upande wangu naona Lissu ndo alikuwa mwenye nia njema.Ila kwa Vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.