Habari,
Naomba kujuzwa kama kuna chuo chochote Tanzania au nje kinachotoa course online zinazohusiana na kilimo na wanatoa certificate?
Iwe ni short course au vinginevyo.
Asante
Habari,
Wadau naomba mnisaidie shule za private kidato cha tano ya bweni, zinazopokea reseaters (wanaorudia mtihani kidato cha nne) iwe wilaya yoyote ya Njombe. Ambayo wako vizuri iwe ya mchanganyiko au wasichana tupu.
Asante
Habari zenu chefs,
Naomba kujua nifanyaje jiko la gas la plates lilikaa muda bila kutumika. Sasa zile switch za kuwashia hazizunguki hivyo siwezi kuwasha. Naomba kujua nifanyaje ili lizunguke?
Kwa yeyote mwenye utaalamu hapo.
Asante.
Habari zenu wadau naomba kujuzwa ile kitu huwa wanaweka ndani ya mito inakuwa milaini( siyo sponge) ni nyeupe kama pamba lakini yenyewe nahisi inakuwa nylon inaitwaje na naweza kuipata wapi nataka nianze kutengeneza mito.
Sent using Jamii Forums mobile app
tusaidie na kwa huku Iringa,Njombe makambako au mbeya kuna hospital gani nzuri ya meno esp kwa kufanya rootcanal,crowning na ile wanaita kuweka fixed dentures??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.