Kama idea yako ni kununua gari nunua gari achana na hao wanaokwambia uweke kwenye mradi kwani wewe hujui hiyo pesa unataka kufanyia kitu gani? Na pia unaweza kuweka pesa kwenye mradi ikaisha yote vilevile suala hapa ni mtu anaomba ushauri gari inafaa au haifai hajauliza kama amekopa pesa...
Katika hali isiyo ya kawaida leo mchana mida ya saa saba katika barabara ya Uhuru mgambo waliokuwa wanatembea kuelekea ofisi ya mkuu wa wilaya wakiwa wamevalia tshirt nyekundu walivamia gari mali ya kampuni moja ya utalii hapa Arusha wakamtoa dereva kwa nguvu kwenye usukani na wengine kuwavamia...
Mkuu nani anataka bia leo?nitanunua hata mataptap kwa anayeunga mkono hoja bora kumtupa yona baharini kuinusuru meli kuzama. Maamuzi makubwa kama haya yanafanywa na watu makini tu, hongera chadema
Lakini muheshimiwa Zito mimi mwenyewe sijawahi kukuamini kama wewe ni mwanachadema au mwana-ccm sasa ni bora uamue kusuka au kunyoa utaweka heshima zaidi ya kuwa sura nje roho ndani
Mnyika: Viongozi lazima wawe na busara ya kuongoza bunge
Ndugai: Mnyika bado mchanga rufaa zake hazina nguvu, my take wananchi wanaona hoja za Mnyika zina hoja
watalii Arusha wanaambiwa nchi inaharibiwa na Serikali ya CCM na sio Chadema maana tour guides wote na maboss zao ni Chadema kuanzia mtoto hadi damu zao
Wanaiachia Chadema chance ya kushinda kwa kishindo, hawajui bora uchaguzi ufanyike sahivi mambo yaishe? Wao wanafikiri hiyo July Chadema itakuwa imeishiwa nguvu kumbe ndio wanaipa mtaji zaidi hahaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.