Search results

  1. M

    Baba riz kajipanga..! Sasa wewe ng'ang'ania 3 akushukie na mwamvuli sebuleni

    Lakini walioshuka na miavuli pale wengi sio watanzania
  2. M

    Nahitaji kununua Benz ML 350, msaada kwa anayelifahamu

    Kama idea yako ni kununua gari nunua gari achana na hao wanaokwambia uweke kwenye mradi kwani wewe hujui hiyo pesa unataka kufanyia kitu gani? Na pia unaweza kuweka pesa kwenye mradi ikaisha yote vilevile suala hapa ni mtu anaomba ushauri gari inafaa au haifai hajauliza kama amekopa pesa...
  3. M

    Mgambo wavamia gari iliyobeba watalii wawanyang'anya camera na kuendesha gari lenye watalii Arusha

    Katika hali isiyo ya kawaida leo mchana mida ya saa saba katika barabara ya Uhuru mgambo waliokuwa wanatembea kuelekea ofisi ya mkuu wa wilaya wakiwa wamevalia tshirt nyekundu walivamia gari mali ya kampuni moja ya utalii hapa Arusha wakamtoa dereva kwa nguvu kwenye usukani na wengine kuwavamia...
  4. M

    Picha: Lionel Messi wa Bercelona apanda Mlima Kilimanjaro, alikuja kutengeneza Tangazo

    Kwa uongo sasa tumezidi bango la kilimanjaro limebadilishwa mwaka wa tatu sasa na huyu messi si ni mgonjwa?angepandaje mlima?
  5. M

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Mkuu nani anataka bia leo?nitanunua hata mataptap kwa anayeunga mkono hoja bora kumtupa yona baharini kuinusuru meli kuzama. Maamuzi makubwa kama haya yanafanywa na watu makini tu, hongera chadema
  6. M

    Majambazi yauwa Kilimanjaro

    Noma sana ukizingatia kiasi cha pesa walichofuata na kuua mtu rip
  7. M

    Tamko kuhusu Shutuma juu ya Kitila Mkumbo (Mjumbe Kamati Kuu ya CHADEMA)

    Lakini muheshimiwa Zito mimi mwenyewe sijawahi kukuamini kama wewe ni mwanachadema au mwana-ccm sasa ni bora uamue kusuka au kunyoa utaweka heshima zaidi ya kuwa sura nje roho ndani
  8. M

    China, adui wa maendeleo na Demokrasia Tanzania! Balozi avaa kofia ya CCM

    Kawaida mabaozi hawatakiwi kuingilia siasa za ndani za nchi husika, lakini kwa China hapa kidogo kuna walakini
  9. M

    Live Star TV: John Mnyika na Job Ndugai

    Mnyika: Viongozi lazima wawe na busara ya kuongoza bunge Ndugai: Mnyika bado mchanga rufaa zake hazina nguvu, my take wananchi wanaona hoja za Mnyika zina hoja
  10. M

    CHADEMA kuharibu jiji la utalii (Arusha)

    watalii Arusha wanaambiwa nchi inaharibiwa na Serikali ya CCM na sio Chadema maana tour guides wote na maboss zao ni Chadema kuanzia mtoto hadi damu zao
  11. M

    Kiwia na Wenje mnawakilisha akina nani? WanaMwanza hatutarudia makosa 2015

    Mtu wa kigamboni anawasemea watu wa Mwanza ambayo hata hajawahi kufika
  12. M

    Jaji Tendwa: Nitaifuta CHADEMA lakini CCM siwezi...

    Kwa sababu anajua ccm walihusika basi ndio anawanasua kwenye kikaango cha kufutwa
  13. M

    Bungeni: Mauaji yanayofanywa na polisi, ni mauaji ya kisheria

    Kweli kuna wapumbavu wengi hii Tz
  14. M

    Je, una imani na Jeshi la Polisi?

    Wapumbavu %0
  15. M

    Mbunge Joseph Mbilinyi (Sugu) ashikiliwa na Polisi Dodoma!

    Sugu moto chini sugu moto chiniii eeh aah sugu moto chini sugu moto ni moto chini....
  16. M

    Uchaguzi wa kata 4 za Arusha waahirishwa tena

    Wanaiachia Chadema chance ya kushinda kwa kishindo, hawajui bora uchaguzi ufanyike sahivi mambo yaishe? Wao wanafikiri hiyo July Chadema itakuwa imeishiwa nguvu kumbe ndio wanaipa mtaji zaidi hahaha
  17. M

    Mbunge Joseph Mbilinyi (Sugu) ashikiliwa na Polisi Dodoma!

    Heheheh mamlaka zinazoishiwa options, kwani huyo waziri mkuu sio mpumbavu?utasemaje watu wauawe hehehehehe mbavu zangu
  18. M

    Mbinu ya kuwadhibiti viongozi wa CHADEMA ni nzuri kwenu CCM, vipi ikishindwa?

    Sio itakuwaje mbinu zitakaposhindwa, mbinu zote tayari zimeshindwa na mbaya zaidi hawajatambua kwamba wameshindwa
Back
Top Bottom