Habari za wakati huu wakuu,,,
Nina laptop yangu aina ya Acer inatatizo la internal mouse (touch pad) hairespond.
Hivyo nalazimika kutumia usb mouse..naomba msaada wenu jinsi ya kurekebisha hili.
Kwa wale wazee wa monde a.k.a maji a.k.a biere wanapafahamu sana mahala hapo.
Taarifa ni kwamba baada ya kuipangisha bar hiyo kwa muda mrefu na hata kubadilishwa jina toka sugar ray kuwa kisuma night club, hii leo imefungwa rasmi kwa takribani miezi 4 kupisha ukarabati na kuirudisha kwa mmiliki...
Wakuu, simu yangu(Samsung galaxy S5) inatatizo la kushindwa kuconnect wireless inaandika ''avoided poor internet connection'' mwenye ufaham na hili msaada tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.