Mdau nashukuru sana, asante JF kwa kuwa na topic kama hizi, umeniokoa sana, ilibaki kidogo kufanyiwa upasuaji maana hali ilikuwa mbaya sana, Shake off na splina ni mkombozi wangu, sitazisahau kamwe na hazitakosa nyumbani mwangu mpaka ukamilifu wa dahali, Mungu akubariki sana.
Hizi ni faida na hasara za kutegemea mitandao badala ya kuwa au kutafuta watu waliopo katika tukio, ni rahisi sana na wanaokoa gharama kubwa wanapochukua picha toka mtandaoni kuliko kutuma mtu ama kutafuta mtu aliye eneo la tukio, hii ni download and paste on paper itajatugharimu sana siku moja...
Hizi ni faida na hasara za kutegemea mitandao badala ya kuwa au kutafuta watu waliopo katika tukio, ni rahisi sana na wanaokoa gharama kubwa wanapochukua picha toka mtandaoni kuliko kutuma mtu ama kutafuta mtu aliye eneo la tukio, hii ni download and paste on paper itajatugharimu sana siku moja...
Kuna wakati uwa natamani niamke asubui nisiangalie TV, kusikiliza redio, kusoma magazeti, kuingia mtandaoni wala kuwasha simu yaani total blackout kwa huu upuuzi unaondelea hapa nchini, Masaburi labda alilijua hili mapema akaamua kusema yale, mambo mengine yanatia hasira sana mpaka mtu...
Kwa hiyo karejeshwa likizo ya malipo kupisha uchunguzi wa kamati teule na si kwa Rais ameona kuna kosa fulani kwa Jah Hero! hivi ishaundwa hiyo kamati ya bunge na kupewa adidu za rejea au ni kujihami tu? hili nalo ni picha jipya limeanza bongo, lets wait and see!
"Sex desire is the most powerful of human desires. When driven by this desire, men develop keenness of imagination, courage, will-power, persistence, and creative ability unknown to them at other time.
Love, romance and sex are all emotions capable of driving men to heights of super...
Mkuu, naelewa sana concern yako na asilimia kubwa inatawaliwa na woga ambao sote tunao kwa wakati mmoja au mwingine katika kujaribu ama kufanya shughuri yoyote mpya maishani mwetu, mi nilikuwa kama wewe, mwaka 2007 kuna jirani yangu mmoja mama wa nyumbani na Fundi Cherehani, wale wanaoshona...
Mkuu, issue ni living forever au ni opportunity that goes with it? binafsi nina ndugu zangu ambao wako huko na sijawai ona wakiuza hizo dawa unazosema na si hivyo tu wametuacha mbali sana kimapato katika muda wa miaka miwili tu toka wajoin huko, it seem that it pays for those who take it...
iliwahi semwa hapa kuwa jeshi hili (machinga) linalokua kila uchao na kuachwa na mamlaka husika kwa sababu za kisiasa kwamba ni "time bomb" na kuwa ni wakti tu litalipuka, tatizo ni sikio la kufa... Tunisia ni machinga mmoja alilipuka, sote twajua kilichofuatia. Mungu ibariki TZ.
maamuzi magumu ni kwenda kuwaonyesha wabunge "sinema" ya watuhumiwa wa madawa ya kulevya na ushaidi badala ya kuwakamata na kuwapeleka panapostahili, wait a minute! last week kulikuwa na opereshen kamata mateja, isijekuwa ndo picha litalooneshwa! wacha tusubiri tuone.
Too sad, pole sana kwa dada kwa yaliyokupata, wizi huu umeibuka na taratibu waota mizizi tusipoangalia tutakuwa kama sauzi mtu anapigwa ambushi mtaani mchana kweupee,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.