.
Mkuu..kama ulivyotoa dokezo hapo jinsi Blandina alivyosaidia kambi ya Mr.malaika then..
mwendo ni huo huo wa 2015...,lazima ccm wamuweke mtu wao pale wa mikakati...nchi gumu sana.
Wakuu.!!! ndio issue hii ni ngumu sana, hasa kwa Nchi kama Tanzania na serikali yake...
Wahusika watajulikana tena kwa kutajwa kwa majina na ushahidi wa wazi kutolewa...
Je.! Mnakumbuka sakata la mwintanga yule wa chama cha ngumi za kulipwa.??
Kesi iliishia wapi?..,alifungwa??..hii ndio...
Moja ya njia Muhimu kwa usalama wa Nchi yoyote duniani..
ni kuwepo kwa usiri mkubwa wa silaha zake ilizonazo..
achilia mbali hizi "talent show" wanazofanya vikosi vyetu hapa..
ndio ukasema "Ngome" iko ivyo.!!, ulinzi wa nchi ni lazima pawe na usiri wa silaha.
Ndaga tumpale.!
Sijui sheria ya Sumatra inasemaje kuhusu aina ya matumizi ya usafiri wa namna iyo...
Kwa uelewa wangu sheria hairuhusu kwa aina iyo ya magari,i.e Malori/pick up kutumiwa kama..
chombo cha usafirishaji kwa abiria.
Lakini sikuzote penye shida busara inakuwa ngumu sana...
Mkuu.., Zombe naye ajiandae kwani sheria haichi asili ya mkondo wake...
hata ukijalibu kuipindisha..kwani wakina zombe walishinda ile kesi kimizengwe tu.
Damu iliyomwagika ya wale vijana bado inamuita..tusubiri rufaa ya serikali mwenzi ujao.
Mkuu...
Kuna familia moja kule uingereza, walishitakiwa na kutozwa faini ya Paundi nyingi tuu..
kwa usumbufu kama huo kwa majirani wa Mtaa..Ni vema utulivu ukachukua nafasi yake..
kama nyinyi wote ni wana Ndoa.
Mkuu...
Kulinganisha kwa kiwango fulani, uchaguzi wa Marekani na demokrasia ya chaguzi nyingi hapa kwetu ni vitu viwili tofauti tena kwa umbali mkunbwa
sana hasa kwa Maeneo haya;
1.Taifa la Marekani lina raia wapatao milion 300, lakin uchaguzi wao ulikuwa wa uhuru na uwazi...
Mkuu.!..
Hii Succession planning zamani ilikuwepo sana lakini miaka ya hivi karbuni tangu...
kuibuka kwa wimbi kubwa la Ufisadi basi mfumo wote died with Natural death...
Mfano., Afisa mkuu mtendaji wa Idara ya usajili wa Makampuni/Biashara-BRELA...
anakula tu mkataba kwa mwaka wa tatu ( 3 )...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.