Mim ni kijana naishi hapa dar, nina mke na mtoto 1, natafuta dem wa kuwa nae ktk mahusiano awe dar na awe mzuri anae jipenda. tutakuwa ktk mahusiano na kumegana ni kawaida ila demu asiwe tegemezi sn. Mengine tutaongea tukijuana.
Habari, Naomba kazi ya computer hardware popote hapa dar es salaam, nina elimu ya Degree na uzoefu wa kutosha katika kazi hii. Namba yangu hii; 0785 600 435
Habari! Naomba kazi kwa aliye nayo, ujuzi ni mtaalam wa computer hardware and software kwa uzoefu wa zaidi ya miaka 2 sasa. Napatikana dar es salaam kwa namba hizi; 0785 600 435
Naomba kujulishwa kwa anayejua hasa mliopo china na nchi zingine, Bei ya mashine au mtambo wowote wa kutengengeza ice block uwe used au mpya unaotoa hata tofali 20 za ice, tofauti na freezer za kawaida au mtu yoyote anayeweza kutengeneza mtambo huu. Napatikana hapa 0785 600 437 ahsante
Habari!
Naomba wa msaada wa anaejua wapi naweza kupata au kuchongesha mashine kwa ajili ya kusaga mabunzi ya mahindi ili yatumike kwa chakula cha mifugo anijulishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.