Wapendwa habar za jumapili,
Ninapata changamoto naombeni ushauri kwa wanaojua vyema. Mke wangu amejifungua mara mbili, zote kwa kisu, kwa sasa ananyonyesha mtoto wa mwaka mmoja ila tumejichanganya ana ujauzito wa mwezi mmoja na hatukua tayari kwa swala hilo kwa sasa coz bado wato ni wadogo na...
Ni matokeo ya kudandia hoja za watu bila kuwa na mipango kamili namna ya kutekeleza!!!!!!
Acha tuisome namba......
Biashara ya watu ikiisha ndo tutashughukia hilo!!!!
Kwani kumwambia rais akatubu ndio kuishambukia serikali?
Kwa hiyo neno.... tubu.... ni bomu la nuclear au una maana gani?
Au mtu akiwa rais hawi na dhambi?
Miaka aliyoongoza hiyo Ikungi TL ukilinganisha na miaka walioongoza wabunge wa ccm unahc nani wa kulaumiwa zaidi? halafu kati ya Serikali na mbunge nani mwenye wajibu wa kuhakikisha huduma za jamii zinapatikana ?
........Aibu yako hata weewe!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.