Kweli kabisa njia za uzazi wa mpango zinamaliza kabisa hamu ya kufanya mapenzi,na Kama muoga kumwambia mume wake apake vilainishi anaumia kwa kuchubuka...
Kwanza nikupe hongera ulioa mke ambaye ngono haikuwa kipaumbele katika ujana wake,lakini pia una mke ambaye akikwazika si mwepesi kuongea anaweka moyonj hivyo Jitahidi kuhakikisha ana amani,pia ngono haikuwa kipaumbele halafu ananyonyesha halafu kaweka uzazi wa mpango,utajua kwa nini hana hamu...
Duh umeniacha hoi kama Kuna watu hawajajua wewe ni mpinzani pure na umeandika mada ili kushawishi waliokatwa wadhani na wewe umekatwa kweli Basi nawapa pole...Ila pambana kwenye siasa Kuna mbinu nyingi
Sawa natoka Ila muombe Mungu akupe hekima na ufahamu wa kujua vyanzo vya Kila matukio yanayotokea kwenye maisha yako.Ujue utofauti wa Vita ya kimwili na ulimwengu wa kiroho..tatizo lako halikusababishwa na punyeto muombe Mungu akujulishe chanzo cha shida yako katika ulimwengu wa...
Hakuna spiritual effect kwenye punyeto kilichokutokea wewe hakihusiani kabisa..na ndio maana unakuwa mwepesi kukasirika,hatuhitaji longolongo kwenye inshu za kiroho,tunaongozwa kupitia neno la Mungu tupe ushahidi acha hasira.wewe hadi kuunganisha punyeto na inshu ya kiroho umetoa wapi?
Andiko lako halihusiani na nguvu za giza,kisayansi punyeto Ina madhara kwa mtumiaji kwa kuwa akili yake ikizoea Sana Hilo tendo inamuadhiri kwenye mahusiano na hata wakati mwingine upungufu wa nguvu za kiume....na hata kwa wanawake hamu ya tendo na mwanaume hupungua,lakini hali uliyokutana nayo...
Pole Ila ulikuwa tu na pepo,Mimi nikipiga punyeto toka nipo shule,nimesoma,nikafaulu vizuri,Nina biashara zangu zinakwenda vizuri na sasa nimeoa na watoto 4...hayo yalikuwa mapepo uliyokuwa nayo
Acha kukurupuka sijasema ni sawa nilichopinga kuhusanisha punyeto na nguvu za giza,hakuna blabla...
Unamshauri nini binti yako wa form two aliyepevuka na anahisia za mapenzi? Afanye ninj kuondoa hamu zake?au punyeto ya wasichana ni tofauti?na vijana wa kiume wanaokua wafanyaje?
Usituletee hadithi neno lipo kwenye maandiko?,tupe ushahidi wa andiko la kwenye biblia sio mawazo yako,halafu punyeto hawafanyi wanaume tu na wanawake pia au wasichana ..unamshauri nini binti yako wa form one njia gani atumie kuondoa nyege zake?
Kumbe mlikuwa mnaibana Sina haja ya kujiuliza kwa nini aliachwa...hongera baba k naona unahisi huenda mimba ni yako maana mlikuwa mnachanganywa 3 kwa mpigo
Hakuna utofauti kabisa isipokuwa wote wanatakiwa kumwabudu Mungu katika roho na kweli.hata hao waamini wengine Kuna kitu ambacho kwa nafasi waliyopo wanasaidia katika kutenda kazi ya Mungu..cha msingi ni Imani iende sanjari na matendo...hicho ndicho kipimo cha mkristo yoyote haijalishi anakazi...
Na Hilo inategemeana unamtumainia vipi Mungu wako,maana Kama hujamuita asimame na wewe Kama lango Bali lango unaendeshwa na nguvu za giza na tamaa za ulimwengu huo,uzaliwa wa Kwanza wenye nguvu ya Mungu utatoa wapi? Yapo malango au wazaliwa wa Kwanza waliosimama na YESU angalia...
Kweli kabisa yote hutokea na namna malezi ya watoto yalivyo....namshukuru Mungu baba yetu alikuwa mtu aliyemtumainia Mungu,alilea watoto katika Imani na kutusaidia kufikia malengo,wote Mungu katuinua,hakuna aliye mzigo kwa mwenzake,mzaliwa wa Kwanza kasimama na YESU hakuna kuteseka bali YESU...
S
Sio Kila mvaa suruali ni mwanaume,hakuna mwanaume kamili mwenye mdomo Kama wako.angalia haiba za wanaume halafu ujione utaingia kundi gani? Mwanaume anaongea kwa hoja sio mipasho.....kwa heri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.