Habari wana jf! Me am so exhausted na hizi mambo.. When i was a little gal i used to think that one day ntakuwa na boyfriend nicly one ambae hatuta make love mpaka anioe.. Kumbe i was wrong now am 22 kila anae nitongoza hutaka Ngono first mmh.. Honestl hiyo condition siiwezi What i decided...
Hostel ipo karibu na vyuo hivyo, Nauza nafasi yangu kwa mtoto wa kike, Nichumba cha watu 2. sehemu imetulia. kuna maji, umeme ,tv, jiko la gesi mnafanyiwa usafi. Kwa mwezi ni 65 elfu.. KARIBU
Hostel ipo karibu na vyuo hivyo, Nauza nafasi yangu kwa mtoto wa kike, Nichumba cha watu 2. sehemu imetulia. kuna maji, umeme ,tv, jiko la gesi mnafanyiwa usafi. Kwa mwezi ni 65 elfu.. KARIBU
Habari wana jamvi! Mi ni mdada nitokaye ktk familia yenye kipato cha kawaida. Natarajia kujiunga chuo kikuu mwaka huu, Hali inakuwa tete kwani nimechaguliwa chuo chenye ada kubwa nahofia kusoma kwa shida, Ijumaa nilienda Tcu ili wanibadilishie chuo au tawi wakaniambia nimechelewa, Waliniambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.