Institute Profile
Establishment and Mandate
The National Institute for Medical Research (NIMR) is a parastatal organization under the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly, and Children (MoHCDGEC). NIMR was established by the Parliament Act No. 23 of 1979 and became...
Ukisema used unamaanisha nini hasa? unataka scrapper, yaani haitembei kabisa, au utapenda linalotembea pia? Boat pia hua zinauzwa na injini au bila injini. Kuna rafiki yangu anauza boti yake, inatembea dola 6500, iko tanga. nk
Asante sana Mkuu Chasha. Mimi Ninafuga kuku wa mayai wa kizungu ambao watatu wamekua majogoo. Haya majogoo yanamuonekano kama machotara (weupe na kama kahawia mgongoni na njanonjano) hawa huwapanda wa mayai kwa kwenda mbele. Kwa majibu yako ina maansha hata hawa majogoo si riziki? kwa mfano...
Kubota na wengine nawashukuruni kwa kutoa habari nzuri juu ya ufugaji wa kuku wa kienyeji. mimi pia nafuga, wapo kama hamsini tu. Nina maswali yafuatayo, kuku wangu wakifika umri wa kama wiki3 baadhi yao huanza kunyonyoka manyoya na kuwa watupu kabisa, ingawa baadae huota, hii inasababishwa na...
Du Lagos? Ingekua huko madiguri au kano tungesema sawa labda...CCP iko juu vibaya sana. Swali ni je products zinazotoka huko Lagos na CCP wana tofauti gani kwenye utendaji wa kulinda haki za raia? kwa matukio ya hapa kwetu sioni tofauti saana..
Aliyefika kwanza ni punda ama simba, au wote walikuja pamoja? Kama punda alikua anakunywa akasikia simba anakuja angekimbia nafikiri. Na kama simba alikua anakunywa punda asingesogea kabisa...!! unless wako tamed
Watu wengine bana, Mama wa watu kaja hapa anaomba ushauri watu wanalaumu ya nyuma, maji si yameshamwagika? utaanza zungumzia jinsi maji yalivyomwagika badala ya kukausha itasaidia nini? Kama huna ushauri ukikaa kimya haita kucost chochote...
Larie ushauri wangu hautapishana na walopita...
Kwahiyo KM kama nimekuelewa vema, nikishawapata hao Rhode Island kwa mfano, waka-cross na hawa wa kienyeji nliokuwa nao, mayai yatakayokua yanatoka hayana shida kuku hawa wa kienyeji wakilalia ili watotoe? Nauliza hivi kwa sababu nimeshawahi kuuziwa mayai kutoka kwa mtu mwenye hawa machotara...
Mkuu Kichwa mbovu asante sana kwa hii elimu unayotupa, ingawa jina yako humu JF haiendani na nondo hizi.
Mimi nafuga kuku wa mayai (kisasa) 550, wiki ya 12 sasa, pia nafuga kuku wa kienyeji sio chotara, kwa nje. Huwa nawatreat wote (layers na wa kienyeji) na wanarespond vizuri na sijapata scare...
Hii story inafanana kwa kiasi kikubwa na habari fumanizi la 'ukweli' (sikushuhudia) la dizaini hii lililotokea huko arusha kipindi fulani huko nyuma, story iyo nayo ilienea sana, ila tofauti yake ni vionjo tu --hiyo story ni kwamba jamaa ili aweze kumlala mkewe ilibidi kwanza yeye alalwe apate...
Sasa Chai Chungu kwenye hii story umeianzisha fast mnoo!! Ungesubiri kama baada ya wiki hivi....Yani mimi nimeshaku-picture kama mjedaa wa Tabora wa ukweli , na ztroy za maisha yao binafsi -life experience kwenye ile ya MY WITNESS!
Wallahi nilitamani kumuona walao picha ya WITIII..sasa unakuja...
Mjeda Nouma! Sijawahi soma hadithi humu JF hii ya kwanza na mpaka nimeimaliza leo saivi tangu mchana! Sasa mjeda kitu kimoja tu---umeanza kama wewe ni muajiriwa wa ujedani lakini ukamaliza kama mfanyakazi wa tours au ndio maflashback hayo????.
Hii ngouma inafaa itengenezewe tamthilia kama ya...
Hilo Tangazo moja kwa moja ni la kitapeli ukiliona--anahamia west Africa alifika huko ndio akagundua ni left hand? hana watu aliofanya nao huku awadonatie? straight a scam yani....
Kupenda maumbo makubwa ni tabia ya muda mrefu Africa. Hii inathbitishwa hasa na maneno yaendanayo na hicho kitu tangu zamani, kuanzia wowow, mgongo, kujazia nk. Katika jamii nyingi ukioa akiongezeka umbo ni sifa kwako mwanaume.
Tukitaka kuliangalia hili vizuri, lizungumzwa kwa kuchambua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.