habari zenu wana jamvi,
Nikiwa kama mtumishi wa serikali nimebahatika kufanya kazi Halmashauri za miji/jiji na watu mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya Tanzania lkn niliyoyasikia na kuyaona yanasikitisha.
Halmashauri hizi ndizo zenye wafanyakazi wengi wakiwemo manesi, walimu matabibu na...
Ndugu marafiki nahitaji ushauri wenu, nimefanikiwa kujenga nyumba yangu eneo fulani mkoani Mbeya.
Lakini kuna jirani yangu ambaye anatumia eneo la kiwanja changu ili aweze kufika kwake na ni mbele ya nyumba yangu.
Nimeshamwambia kwa mdomo na kwa maandishi kwamba natahitaji kutumia eneo hilo ...
Kama kawaida , tupeane taarifa za matokeo ya mechi zote za leo , leo mbeya sokoine mtibwa sugar atakuwa akipelekwa puta na Mbeya city , wapenzi wa Mbeya city twendeni tuipe sapoti timu yetu , najua wengi mtakuwa na hamu ya kuiona timu yenu na kuisapoti wapate matokeo mazuri . Mbeya city...
Kwanza tuwapongeze wachezaji , viongozi na benchi lote la ufundi , na mashabiki wote wa city ambao mnatuwakilisha mashabiki wenzenu tuliopo Mbeya.
Niseme tu kwa mechi hz mbili mbeya city mmefanya vyema japo si vile mlivyotuahidi, lakini jicho na akili na nguvu na umoja tuelekeze tarehe 2 ! Hii...
Katabalo , kipindi kile cha magazeti ya mzalendo , mfanyakazi ,nk huyu alikuwa mwandishi wa habari wa ukweli , alithubutu akatupa habari za ukweli , akachimbua haswa , akatueleza jinsi twiga wetu walivyokwenda Saudi arabia baadae akanyamazishwa , stori ya twiga ikafa, naye pia tukamsahau ,na...
Wanajf hii hatari sasa , ni wiki ya tatu sasa kumekuwa na upungufu wa maji katikati ya jiji la mbeya na pembezoni mwa jiji pia,. Mamlaka inayohusika imekuwa kimya! Angalizo kwa serikali na idara husika msijeanza kimbizana kipindupindu kikianza .
Kwa mtizamo wangu , kama huyu jamaa akiamka vizuri kabisa siku ya fiesta hao ma international wataisoma namba!!! Akishusha hv vitu viwili tu kazi kwisha
NANI KAMWAGA POMBE YANGU !!
Amalizie na TEMA MATE TUMCHAPE itakuwa balaa ? Kwani wabongo huwa tunaimbishwa na tunaimba zaidi nyimbo za...
Kwa wale mliopo nje ya mkoa wa mbeya njooni mapema , huu hautakuwa kama ujinga wa yanga leo , mtapata burudani kulingana na kiingilio chenu ! Nawambia kabisa muingie mbeya kabla ya ijumaa msijekosa siti.
Kumekuwa na kawaida ya kutoa fair, yaani kuruhusu gari au magari yanayotoka service road kuingia main road pindi ambapo kumekuwa na foleni kubwa ya magari, hili huwa linaenda sambamba pamoja na kuruhusu mkusanyiko wa watu kuvuka sehemu ambayo pia si rasmi,hii tunaitafsiri kama upendo na kujali...
Kwa mara ya kwanza kabisa ,katika historia ya mpira miguu nimeshuhudia mabadiliko ambayo yanga hawakuyatarajia , umati wa washabiki uliojitokeza kuishabikia timu yao ya mbeya tofauti na kipindi cha nyuma , ambapo tulizoea kushabikia Yanga na Simba sasa inatoweka , na wshabiki kuanza kupenda vitu...
Nikiwa kama mpenzi wa burudani , hasa muziki wa dansi nimejisikia vibaya baaada ya kumuona huyu mzee leo chanel Ten, akiomba msaada wa watanzania kumchangia chochote kwa tamasha ambalo litafanyika dar es salaam.Amediriki kusema katika miaka yote ya kimuziki hajafanikiwa kumiliki hata baiskeli...
Nikiwa kama mpenzi wa burudani , hasa muziki wa dansi nimejisikia vibaya baaada ya kumuona huyu mzee leo chanel Ten, akiomba msaada wa watanzania kumchangia chochote kwa tamasha ambalo litafanyika dar es salaam.Amediriki kusema katika miaka yote ya kimuziki hajafanikiwa kumiliki hata baiskeli...
Nimetizama video ya wimbo love me , hizzo bisness akimshirikisha barnaba sina budi kusema , ulikuwa na haki ya kumuweka barnaba boy, kwa kweli katenda haki , daah no comments !!
Hivi karibuni kumeibuka tapeli mmoja hapa MBY ambaye ni mzee wapata kama miaka 50, mzee huyo anatumia usafiri wa pikipiki na hutembelea maduka ya watu mbalimbali na utapeli wake ni kama hv. Mzee anajifanya kama alikuwa kamati ya vinywaji harusini , na hivyo anakwambia kuna vinywaji ambavyo...
Nimekuwa nikijaribu kuangalia kila chanel ili kuangalia tukio lililowapata wenzetu wa Arusha lakini, hakuna hata chanel ambayo inatuonesha ni kipi ambacho kinajili kwa Watanzania wenzetu.
Mimi kama Mtanzania na nnajivunia kuwa mtanzania moyo wangu unaumia na nnafikiria juu ya wenzetu...
Polisi katika mji wa sumbawanga wamempiga risasi mkazi mmoja wa kisesa Sumbawanga wakisaidia kumsaka mtuhumiwa aliyewatoroka askari magereza, msako huo walikuwa wakiufanya nyumba kwa nyumba. Chanzo itv
Kwa wakazi wa jiji la Mbeya na wanaotumia barabara ya Morogoro road, inayoanzia Dar mpaka Tunduma,barabara hii imekuwa na foleni kubwa hasa nyakati za jioni, hasa katika makutano ya barabara ya mafiati kwenda mjini, hii yote ni kwa sbb hakuna taa za kuongozea magari eneo hili, na eneo hili ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.