Naombeni kufahamu juu ya ili kuna simu inauwezo wa 2g je kuna uwezokano wa kuibadirisha iwe kwenye 3g na kama kunauwezakano naomba msaada jinsi ya kufanya hvyo.
Masada wakubwa kuna pc imesahaulika password zake za kwnda kwenye setup kama kuna yeyote anaejua jinsi ya kuchakachua au kuziondoa naomba msaada wake na naomba kujua cmos better inatunza password ipi naomben msaada wenu
simu yangu imepoteza OS baada ya kuroot cmu yng nikareset ambapo kawaida yake uwainafuta program zote ambazo ulizidownload bt this time imefuta vitu vyote including OS inawaka bt hainipeleki kwenye launch iliyokuja na simu yan inaishia kuwaka tu na kuniletea white screen na neno ideos only plz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.