dah kaka ni baadh 2 ambao tiketi zna majina haswa waliong'ang'ania kuandka jina bt kwa marehemu tiketi haikuwa na jina ni seat number na kiasi/nauli tu!!!
picha sikuweza kuchukua kwa sababu ya wingi wa watu waliokuwa wamezngra
hadi jion alikuwa hajatambuliwa jina kwa sabubu inaonekana hakuwa mwenyeji wa tarime
Ni katika wilaya ya TARIME MJINI ilikuwa ni tarehe 9/1/2014 majira ya saa 12;20 gari iliporejea katika stendi ya mabasi na kutoa taarifa katika kituo kidogo cha polisi mjini tarime kuwa kuna abiria kafariki ndani ya gari.
Abiria huyu alikadriwa kuwa na umri kati ya miaka 22 had 27 ambae jina...
im living in the boarders of tz&kenya the kenyans feel that they are superior than all in east africa
IM PROUD OF BEING A TANZANIAN BIG UP 4 WAT U HV SHOWN US
MUNGU IBARIKI TANZANIA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.