kwa kweli kondoms ni muhimu sana kuvaliwa lakini sijui akili huwa zinahamia wapi mda hule dah......alishajisemea mzee ruksa kuwa ugonjwa umekaa pabaya mungu atunusuru:peep:
hii huwa inatokea wengine hucheka cheka sana,enzi zetu tulikuwa tunaenda kucheza nao disco basi kesho yake wanakuwa wamepona,,,,dawa ni kuwachanganya na wanaume,its nature
huyu atakuwa kampata kidume anamzuzua ndo wewe ukija anakuona kama choo,,,dawa yake husimvukuze tafuta binti mwelewa awe anakupunguzia mbegu ukiridi hme kimyaaaa unamchora tu.......badae mwenyewe atarudisha mahabat kwako....husiogope vidumu viliweka kubalance maisha ya ndoa kama hayo take it from me
wadau kwa uzoefu wangu mdogo naona mara nyingi wanaume ndo huwa tunamaauzi ya kuvaa condom au kutovaa, baada ya deep romance wadada wengi sio wote fahamu huwa zinawatoka.....mkimaliza ku do utasikia dear kumbe hukuvaa?....karibu tu share mawazo kukabiliana na stds na aids
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.