Search results

  1. Kevin Kevin

    Zitto: Kwanini Serikali inaogopa Wachunguzi wa Kimataifa? Ushauri wa Lema swadakta

    Kinachotetewa ni uhai na usalama wa binadamu na si mwanachama wa CCM ndugu yangu. Tujaribu kutenganisha itikadi na usalama wa binadamu wenzetu.
  2. Kevin Kevin

    Tumefunga saumu ya ramadhani ngojea wakati wa kufuturu tutakufuturu

    Duh! Sijaelewa hii imefikaje aisee
  3. Kevin Kevin

    Mshiriki wa Tanzania BBA Uzalendo umemshinda!

    Upuuzi mtupu, shenzi type, project za kizinzi-zinzi tu na watu wanazisifia!!! Jamii inapotelea wapi hiii jamani????
  4. Kevin Kevin

    Maskini Zitto Kabwe-Rasimu ya katiba yamtupilia mbali Urais!

    Kwani ilikuwa ni katiba ya ZITO ama? Maana kidogo sijaelewa somo hapa
  5. Kevin Kevin

    Hivi "viroba" bora vipigwe marufuku tu...

    Unga-kelele Kiroba-kelele Bia-kelele Sasa watu watumie nini?
  6. Kevin Kevin

    ADVICE: Ninunue gari aina gani?

    Nauza Noah, kama vipi nikukabidhi
  7. Kevin Kevin

    Orodha ya wasanii manyoka

    .We have bigger problems like Umaskini,Ufisadi and ----ing global warming.bila kuisahau CCM. Duh, salute
  8. Kevin Kevin

    uongozi wa channel five...wafunguka wasema kipindi cha album cha lady jay dee..kitaendelea kuwepo

    Uhuru na matumizi ya vyombo vya habari kamwe hauwezi kuwekwa mikononi mwa wapuuzi wachache wanaotumia kigezo cha "CHOMBO BINAFSI" kukandamiza mtu aliyokinyume na matakwa yao
  9. Kevin Kevin

    sheria ya mirathi msaada please

    There's a big difference between RIGHT & JUSTICE, so those kids will be having the RIGHT to inherent but unfortunately it can't be JUSTIFIED due to some technicalities! Actually based on the nowadays life style we really need to revisit and amend some stuffs in the whole thing concerning...
  10. Kevin Kevin

    Ogopeni kusoma kombi dhaifu

    Hili nalo tatizo kama si makusudi
  11. Kevin Kevin

    Zaidi ya asilimia 75 ya wakazi wa Dar hawaangalii tv tangu ulipoanza mfumo wa digital

    Jamani mie mniruhusu tu nilalamike, maana nimejitahidi weeeeee nikanunua kijitiv changu cha inchi 17 tena bendi moja, kununua hicho kisumbusi sawa huenda nikajitahidi nikafanikiwa, lakini jamani hii ya kila mwezi na maisha yangu ya chumba cha 30,000 huku uswazi kinanitoa jasho si mnataka...
  12. Kevin Kevin

    Privacy Laws

    kwa namna moja ama nyingine sheria hizi zinamuingiliano mkubwa hasa kutokana na ukweli kuwa Data Protection ni moja ya Privacy na nia ya swali ilikuwa ni hiyo na kama ambavyo tumeona majibu kutoka kwa wachangiaji, ila pia si vibaya kama kuna mwenye mchango juu ya jambo hili kwa kuwa mie binafsi...
  13. Kevin Kevin

    Lugha gogana

    Boss kesha anguka signature baada ya kufanya proof reading hapo mkuu
  14. Kevin Kevin

    Privacy Laws

    Am apologizing for that and withdraw my reply, hope the status quo is maintained
  15. Kevin Kevin

    Privacy Laws

    Am sorry, never ment to offend you, nashukuru boss
  16. Kevin Kevin

    Privacy Laws

    Asante kwa mchango wako ndugu, lakini kwa bahati mbaya sifanyi assignment NA pia ni heshima zaidi kutoa mchango bila dharau kwani si lazma anayeuliza kuwa mwanafunzi, act like a lawyer ndugu! Thx guys, nitachek NA hao waungwana
  17. Kevin Kevin

    Privacy Laws

    Do we have a data privacy Act or any other laws dealing with Data Protection in Tanzania? If "YES" please i would love to get a copy and if "NO" then how do we deal with Data Privacy issue in Tanzania?
  18. Kevin Kevin

    Wazo la leo wakuu!!!

    Usione vyaelea, vibebe uone kama utafikanavyo mbali....
Back
Top Bottom