Line iko safi haina shida unaweza kuja ofisin kwangu kuitest nipp ukonga dsm haina shida yoyote nakuunganisha na wakala mkuu nimenunua kutoka airtel makao makui nakuunganisha na wafanyakaz walioniuzia hata ikipotea unatengenezea nyingine mawasiliano
0692470336
kiwango cha ally samatta mbwana kimepaa kutoka pound laki nane mpaka pound milion moja na laki sita samata anaonesha kiwango kikubwa tofaut na mpinzani wake ukiangalia safar ya samata hii ni mara ya kwanza lakin mpinzan wake yupo ulaya tangu 2007 katika timu yake ya kwanza
msimu uliopita...
MAMBO YA WANASHERIA:
Baada ya kumaliza Degree yake ya Sheria, Bwana Rwegashora aliamua
kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufung ua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake, alimwona dada mmoja mtanashati
na mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja...
brenda mpya nimetumia siku moja tu sababu ya kuuza ni maneno maneno ya wapangaj kua niongeze hela ya umeme sababu nimeongezea brenda namba yangu 0657656697nipo dar es salaam banana ukonga.
MTOTO: baba unaitwa shule.
BABA: kuna nini?
MTOTO: Sijui ww twende.
BABA: haya hebu twende
MWALIM: karibu mzee mwanao tumemuuliza Kampala iko wapi kashindwa kujibu
BABA:kamgeukia mwanae akamzaba kibao kwa hasira na kumwambia ww nilikukataza kuchezea vitu vya watu haya KAMPALA ya mwalimu...
Umewahi kusikia kuhusu kanisa jipya linanoitwa 'The national church of Bey'?
Msanii Beyonce knowles wa Marekani ameacha maswali mengi baada ya kuanzisha kanisa lake na kuliita "The national church of Bey" means church of Beyonce.
Ambapo yeye ndio Mungu wa kanisa hilo na maelfu ya watu...
Man United imefungwa na team ambayo jina lake utadhani SMS inajiandika yenyewe wakati simu iko mfukoni huna habari nayo na umesahau kuilock
#FCMidtjylland
wanajf kuna upepo wa application inayovuma kwa kas kua ina uwezo wa kuksmata mawasiliano ya mpenz wako
je kuna ukweli kwa wake mlioitumia maana ukiwa katika hatua za kuipakua unaombwa pesa je kuna yoyote imemsaidia na hakuna kelele za utapel maana kuna malalamiko ya chinichin kua ni matapeli na...
Haka katabia kwa wanaume wenzangu kupenda bikra ili hali wao wenyewe washatumika si sawa imekabidhiwa haswa wa kijinsia acheni hiki kitabia msiwafanye dada zetu wakose amani
Bikra kutoka ni tendo la kawaida lisilo na maana yoyote ile moyo wa mtu ndio unamaana.
WANAUME TUNATIA AIBU SANA WAKATI
MWINGINE HEBU TUJIREKEBISHE
Mwanaume mmoja hapa mtaan kwetu aliwatongoza wanawake
watatu tofauti na nia yake ni kufanya upembuzi
yakinifu ili mmoja wao awe mkewe. Hivyo jamaa
aliamua kuwapa jaribio kwa kuwapa Tsh.
500,000/= kila mmoja huku akitaka kujua ni
namna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.