Kwa wale form 6 tunaoripoti katika kambi tulizopangiwa je kuna maelekezo yoyote kuhusu vitu tunavyotakiwa kwenda navyo mfano nguo n.k. ? Kwa anayejua anisaidie hapo.
Kwa mara ya kwanza nilipokutana na msichana fulan.MWILI wang uliishiwa nguvu ikawa hata kusema mamb tu nilishidwa .kutokana na vitu alivyojaaliwa dada yule ,sasa ikabid nijiulize mi huyu bint nimempenda au nimemtaman.embu nisaidieni hapo wana Jf.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.