Nakushauri nenda Voda shop upate recharge voucher bila usumbufu huna sababu ya kwenda ofisi ya watu wasumbufu katika dunia ya sasa,ni kitendo cha dakika tano
Asante kwa taarifa hiyo sasa wataanza kuonekana lini kwa sattelite ipi naomba unifahamishe hiyo local inaonekana vipi kwa nchi nzima kama hawarushi via satellite, vilevile agape (ATN) new frequency ni zipi mwenye taarifa alete habari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.