Salaam waungwana,
Nmeona changamoto ya kupata matibabu wanayopata watu wa eneo fulani nje kidogo ya jiji (Dar es salaam) kwani zahanati ipo mbali kidogo nikafanya kautafiti na kuona kama nitatoa huduma ya kuuza dawa muhimu ktk eneo hilo nitawasaidia wananchi hao kutokana na adha ya kupata dawa...
Hizi dini nyingne hz zimejaa vituko. Ina maana hyo sala ni ya kutunga? Hadi ifanyiwe editing? Maana kama ingekuwa inatoka kwa muumba sidhan kama kungeongelewa hyo kitu.
Hivi ni kwanini kuna utaratibu tofauti kati ya halmashauri moja na nyingne katk utoaji wa hela za kujikimu kwa watumishi (waalimu wa sayansi) walioajiriwa Mwaka huu?
Kuna ambao walipewa hzo pesa mara tu baada ya kuripoti kazini yaani mshahara wao wa kwanza na pesa zao za kujikimu zikajazwa...
Waungwana nawasalimu,
Sina muda mrefu tangu nianze utamaduni wa kusoma vitabu, inshort mi ni mchanga kabisa ktk ulimwengu wa usomaji vitabu.
Mwanzo nilikua nasoma tu ilimradi nikiona kitabu kina tittle nzuri nakichukua na kusoma lakn baadae baada ya kuona sipati nnachotaka (kubadili namna ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.