kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha huku zanzibar, idadi isiyojulikana ya watoto wamezama kwenye maji! Maeneo ya kijitoupele, mpaka sasa amepatikana mmoja tu akiwa hai' wazamiaji wanaendelea kuwatafuta wengine'
Ni mjasiriamali niliuza korosho kwa mfumo wa stakabadhi ghalani tangu tr.15 September, mpaka leo nasikia hawajaanza kulipa' please kwa mwenye kujua naomba anifahamishe'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.