android lost....nimetumia iko powa sana...inakutumia sms ya new sim card number and serial yake, msg na call alizofanya.so unaweza hata kum track kupitia 3rd part .mie nillibiwa techno nikamtrack jamaa kwa siku tatu,nikapata number kumi za watu anaowasiliana nao sana ikiwemo ya mkewe na nymba...
imekuwa kero sana kwa wateja wengi kuibiwa/kubambikiwa bill(hasa upande wa chakula) na wahudumu...hebu tuweke wazi bar/hotel ambazo ni vinara wa Hii kitu,ili tuwe makini tunapofika hayo maeneo.tatu bora yangu ni...
1. Rose garden
2. break point
3.coco...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.