Kama kichwa cha habari hapo juu pikipiki inaitwa king lion 150, nimetumia mwaka mmoja na mi ni mwalimu, kwa hiyo utumiaji ulikuwa mzuri tofauti na waendesha bodaboda, mi nilikuwa naendea kazini na kurudi tu, sasa nahama mkoa huu wa Dar es Salaam naenda Mwanza ndo maana naiuza.....
Kwa...
Kama kichwa kinavyosema NYUMBA IPO HAPA DAR SEHEMU INAITWA YOMBO KIEMBE SAMAKI, ina vyumba vinne na uwanja wa kujenga tena vyumba hata vitatu, bei milioni 16, nyumba ni ya kwangu na nimeamua kuuza niamie kwingine ambako kuna shughuli zangu za biashara.
If interested tuwasiliane namba hii...
Habar wadau nataka kununua heka tano tanga ili nipande miti ya mbao, msaada kwa mzoefu kuhusu mche bei gani, na baadae naweza kuuza bei gani na ni baada ya mda gani, na heka moja nitapanda miti mingp
WADAU mi nafikili ni jambo ambalo halifai kulichachalia au kuna upande una maslahi sana na muungano???
kama wazanzibar hawataki muungano na hii ni democrasia basi ipigwe kura zanzibar yote watkaoshinda wapewe kama kuvunjwa uvunjwe kungangania kitu wakati mwenyewe hataki na kusingizia eti...
Natumaini wote mu wazima wa afya
Siku mbili hizi zilizopita baadhi ya wawakilishi wa sirikali wametoa tangazo la kupiga marufuku bodaboda na bajaji kufika mjini, sasa mi ninachojiuliza ni kwamba, nini sababu kuu ya kuzuia, na pia je wanajua kuwa vijana wengi ndio wamejiari kupitia vyombo...
Nilinunua pikipiki then nikampa mtu kwa mkataba wa kuniletea elfu kumi kila siku na matengenezo ni yake, ila baada ya mwaka pikipiki inakuwa yake, lakini mtu huyu anaweza kukaa siku tatu ajaleta ela na akija analeta nusu, nataka nvunje mkataba.
Je sheria ipo kwangu au kwake?
Nia yangu ni kujaribu kujiinua kimaisha polepole, kwa anayejua naomba anisaidie
1) ningependa kujua bei ya kifaranga mmoja na wapi wanapatikana wazuri?
2) je ni mda gani mpaka kukua na kuuza?
3) kwa mtaji wa laki nne nianzae na wangapi?
4)nina chumba chenye madirisha mawili na kisafi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.