Jaman msaada mwenzenu app nzuri ya kuchekia mipira isiyo gandaganda.kwan leo tv yangu imeungua na kuna gemu za uefa.natanguliza shukran kwenu.achana na mobdro app
Nimeshindwa Ku unlock cm yangu aina ya celkon A
85 ambayo nilikuwa nafungua kwa pattern. Baada ya m2 kuchezea. Inadai niingize account yangu ya google pamoja na password bt kila nikifanya hivyo inasema ni wrong! Please jamani naombeni msaada kwa yeyote mwenye taaluma hyo!
wadau naomba msaada wa antvairus nzuri ya kutumia kwenye cimu yangu ni Celkon A85 Android.mwanzo nilikuwa natumia avg sasa naona ina mb nyingi mno na mimi simu yangu imebaki na mb 10 tu.msaada wakuu
Habari wanajf.naombeni msaada kama kuna software ya kuifanya smartcad ya dstv inafanye kazi kwenye mpeg4 4669xii nikiilipia hiyo kadi.kwani nina kadi ya dstv ila sina decorder yao.msaada tafadhari wakuu
Natanguliza shukrani zangu kwa wanajf.tatizo nililonalo ni kuwa kuna jamaa anataka kuniuzia software cable ya avatar dongle na amesema inatumika kwa mwaka mmoja.wasiwasi wangu ni kuwa mbona kuna watu humu kwenye jf walisema kuwa walibadilisha software ikakaa wiki moja ikakata mpaka leo.kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.