Habari zenu
Kama kichwa cha habari kisemavyo nipo nae Kwa takriban miaka minne sasa na kipindi chote tukikutana 100% tulikuwa tunaridhishana, lakini kwenye hizi siku za usoni kama miezi miwili hivi hari imekuwa tofauti sana kiasi kwamba mpaka namuonea huruma hasa huyu mpenzi wangu kwani...
Habari zenu.
Katika siku hizi za usoni karibia kila Kona utakutana na sentensi "wanaume wa Daslam" [emoji33] Jiji la daslam ambalo vijana wengi wanatamani wangezaliwa au hata kuzamia daslam tumekuwa tukipigwa vita sana karibia kila Kona na vijana wa mikoani (bush). Nadhani mnatambua fikra...
Anatafutwa mhasibu kwenye kampuni moja ya usafirishaji wa anga. Ataanza kama intern kwa miezi mitatu na tukimuona anafaa atapewa kazi. +255 714588799. Usipige txt Whatsap na ntakupa maelekezo.. Nafasi ni moja tu Asante
Bado nipo nipo sana.
Habari great thinkers.
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Ni rafiki yangu wa karibu sana, ndoa yake ina miaka miwili 2.
Amekuja kwangu kuniomba ushauri. Kwa uwezo wangu mdogo wa kufikiria kwa kweli juu ya hili swala napata wakati mgumu kutoa ushauri.
Nipo nae hapa...
MMU ingekuwa nchi madarak yangekuwaje?
On my side
Uprezdaa angechukua Mode
Waziri mkuu:Mtambuzi
Wizara ya Fedha: The Boss
Wizara ya afya: Watu8
C.A.G:City hunter J
Wizara ya mambo ya nje:Heaven n earth
endeleeni kupanga wizara...
mabadiliko ruuksa
Habari zenu. Natumain wote wazima and mnaendelea vizuri na ujenz wa Taifa..
Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi hili swala,kwa nin wapenzi wetu wa zamani baada ya kipindi flani kupita ukija kukutana nae/nao kwa jinsi utakavyosalimiana nae na story mbili 3 and ukiwa umeSHINE/PENDEZA zaidi ya...
Heshima zenu ndugu..
Kwa jina naitwa Amani.megraduate mwaka jana Bachelor of Accounting..Changamoto za maisha zimetanua mawazo yangu na kufikiria kufanya a small busness ambayo nauhakika itanifanya niwe independent..
Kwa ufupi tu kuhusu hyo biashara..
Mepanga kufungua sehemu ya kuchezesha...
Heshima zenu wakubwa..
Amani ndiy jina langu,degree holdeq(Bachelor of Accounting)
Na busness plan nzuri and ipo kwa maneno japo bado sijaitype..inahítaji kiasi cha mil 2.5.Ndipo nilipokwamia hapo.
Kwa yeyote atakayehisi anaweza kunikopesha hicho kiasi naomba tuwasiliane kwa no.+255 714 588799...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.