Hiyo hela unayonywea pombe ungeiweka hata bank baadae ingekusaidia pindi huyo uliyempa mimba akijifungua.
Sent from my D6502 using JamiiForums mobile app
Mkuu una mentality ya kuajiriwa tu dat y. Jaribu kufanya biashara yoyote iliyopo ndani ya uwezo wako. Huku kwenye ajira tulioingia tunatamani kutoka sema basi tu uoga wa maisha unatubana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.