Mama: Mwanangu hebu mpigie
simu baba yako mwambie
chakula tayari
Mtoto: Sawa mama
Mtoto: Mama simpati
Mama: Bac subir kama baada ya
dakika tano mpigie tena
inawezekana ni mambo ya
network hayo.
(baada ya 5 mins)
Mtoto: Mama mimi baba simpati
simu yenyewe anapokea
mwanamke.
Mama: Kha! Sawa...
Jaman nipo kibaha pwani. Nimechaguliwa njombe sekondari. Natafuta m2 wa pande hz anaeenda huko. Au yule aliyemaliza apo anipe information za shulen huko
Iv kunatofaut gan kat ya frexible grade na fixed grade kwa sababu walikuwa wanazizungumzia bungen nikashndwa kuelewa znatumikaje. Na je ni zp zlizotumika kusahihisha mitihan yetu ya form 4 na 6
Hivi hii page ya necta facebook ni ya kweli au wanatutia presha tu. Maana wamesema matokeo yapo tayar na ndio wanaendelea kuyaweka kwenye mtandao. Alaf kama mtu anayataka yake atume namba yake ya mtihan inbox
Wana jf naomben msaada wenu. Nna rafiki yangu 2memaliza nae f4 amepata div 4.28 naomben msaada wenu kama kuna vyuo mnavyo vijua na course zp znalipa hasa znazohuc masomo ya sayansi kama pharmacist..... Matokeo yake ni haya
civ F
eng F
his F
kis D
geo D
che D
phy D
mat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.